Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akiwapokea wageni wake wa mradi wa mchuchuma na Liganga kutoka China ambao wamekuja kuanza kazi katika wilaya hiyo. Hii ni ndoto ya siku nyingi ya wakazi wa wilaya ya Ludewa na mbunge wao Deo Filikunjombe kutaka madini ya mchuchuma na Liganga kuanza kuchimbwa.