Kumekucha Uganda ni nchi ya tatu Afrika kwa Raia wake kufurahia Tendo la Ndoa Tanzania hata top 40 haipo!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,544
108,871
Msininunie Mimi basi linunieni Gazeti la New Vision la Uganda ambalo ndilo limekuja na huu Utafiti wa Kimahaba.

Ni kwamba Nchi ya Uganda imeshika nafasi ya Tatu barani Afrika kwa Raia / Wananchi wake Kufurahia mara kwa mara tendo la Ndoa ( Kungonoka / Kubanduana / Kutinduana / Kutiana ) kuliko nchi zingine na kwamba katika Utafiti huo Tanzania si tu haimo katika top 40 bali imezidiwa na hata nchi za Somalia na Eritrea.

Kuanzia leo Watanzania tuache Kudanganyana kwamba sijui unamfikisha Demu wako / Mumeo kwani ukweli ni kwamba Watanzania hawatoshelezani na pia hawafurahii ipasavyo Tendo hilo la Ndoa japo kila siku tukiwa humu Mitandaoni tunajisifu kumbe hamna lolote!

Tusichoshane sana Source: New Vision online

Nawasilisha.
 
Kwa Utafiti huu nina uhakika kuanzia leo Watu watagawana Vitanda vya Kulala au Watalala tu Mzungu wa Nne kwani ukweli ni kwamba hata ' wakifanyana ' bado hawaridhishani ( wana Fizikia wanasema work done is equal to zero ) Bora ya Mimi niliyeamua rasmi kuyahamishia makazi yangu nchini Uganda na sasa nafurahia tu Mahaba na katika huo Utafiti wa Tatu bora nami nipo ndani yake. Poleni sana Watanzania!

Leo najua mtanuna mno ila tafiti hupingwa na tafiti.
 
Uzuri wa wanawake wa kiganda wala hutumii nguvu nyingi kumuandaa, kumsugua sana, mbwembwe nyingi sana yaani ni walainii, mkishapeana appointment anakuja keshaloa saa nyingi, mmaweza ingia ndani mkivua show inaanza bila hata kushikanashikana unaskia tuu K inatema mzigo wa haja kurusha maji kwa kwenda mbele ndani ya dk 30 hadi saa 1 yupo hoi hata kuendelea hawezi,
Sasa hawa wa kitz ndio kero, umuandae nusu saa ya romance, haitoshi tena uende chumvuni udeki weee yeye anagugumia tuu, unamuwekea dyudu unasugua wee na mikao kibao lkn huoni dalili ya kurusha maji utaskia tuu nakojooaaa lkn huoni kitu hapo mmepiga gemu saa 1 hadi ma2 bila kupumzika kakojoa kimoja au viwili tuu.
Wa hivyo mi sirudi tena ni kupoteza nguvu kazi bure tu, ndio maana wanaume wa dar tunachoka sana kwa kula sana papuchi mda mrefu zisizo na shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe ndio maana Chibu alienda kuoa Uganda, sasa wanaume wa mikoani kwisha habari yenu, sasa habari ya mjini ni wanaume wa Uganda. Tatizo bongo pweza wanatuharibu sana. Duh mpira hatuwezi, masumbwi hatuwezi, kuogelea hatuwezi, riadha hatuwezi hata kugegeda aiiiiii inauma sana bora nihamie Uganda nikajifunze kugegeda maana hakuna namna nyingine
 
Kwa Utafiti huu nina uhakika kuanzia leo Watu watagawana Vitanda vya Kulala au Watalala tu Mzungu wa Nne kwani ukweli ni kwamba hata ' wakifanyana ' bado hawaridhishani ( wana Fizikia wanasema work done is equal to zero ) Bora ya Mimi niliyeamua rasmi kuyahamishia makazi yangu nchini Uganda na sasa nafurahia tu Mahaba na katika huo Utafiti wa Tatu bora nami nipo ndani yake. Poleni sana Watanzania!

Leo najua mtanuna mno ila tafiti hupingwa na tafiti.
Da! Umehamia kabisa mkuu
 
Kumbe ndio maana Chibu alienda kuoa Uganda, sasa wanaume wa mikoani kwisha habari yenu, sasa habari ya mjini ni wanaume wa Uganda. Tatizo bongo pweza wanatuharibu sana. Duh mpira hatuwezi, masumbwi hatuwezi, kuogelea hatuwezi, riadha hatuwezi hata kugegeda aiiiiii inauma sana bora nihamie Uganda nikajifunze kugegeda maana hakuna namna nyingine
Sio kwamba hatuwezi wanawake wa kibongo wagumu sana kuwaridhisha wanapenda sana ela kuliko gegedo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom