diana chumbikino
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 428
- 368
Leo Septemba 12 mwaka 2019 Mkoa wa Dar es salaam umewaapisha wasimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa ambapo hatua hiyo imekuja baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Seleman Jafo kutangaza majina ya wasimamizi hao.