profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,485
- 3,128
Duniani kila mtu ana rafiki yake,pamoja na kwamba marekani ana washirika wake,na wanampiga mkwara iran,upande wa pili ni kwamba,majeshi ya majini ya russia,china,venezuela na iran yamefanya mazoezi ya pamoja,katika mkoa wa russsia,uliopo ndani ya ulaya(NATO),yaani kanlingrad,jimbo hilo la russia,ndio sehemu ndogo iliyojihami na silaha nzito duniani,na liko ndani ya ulaya.
Kwa hiyo nchi za NATO,zinaishi na nyoka akiwa karibu na nyumba zao,
sijui lengo la mazoezi hayo ni nini
wakati kukiwa na wasiwasi,ghuba ya uajemi.
Kwa hiyo nchi za NATO,zinaishi na nyoka akiwa karibu na nyumba zao,
sijui lengo la mazoezi hayo ni nini
wakati kukiwa na wasiwasi,ghuba ya uajemi.