Nawewe umeachika nini? Mbona umeumia sana?Mawakili wana CCM mburuzeni hicho kidume kimpe mali mahakamni huyo mwanamke kiliyemuacha hakuna cha msikitini ni mahakamani tu
I love you Nifah , for this comment.Kwa maumivu tuliyosababishiwa na CCM kwenye uchaguzi huu hata mimi ningekuwa na mume ambaye ni CCM tungeachana tu.
Huyo jamaa aliyeacha mke anajielewa sana, ningekuwa single ningemtafuta lol