MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara ameliomba Baraza la Mitihani nchini kukanusha taarifa inayosambaa mitandaoni ikisema shule kumi za mwisho kitaifa zinatoka mkoani Mtwara jambo ambalo si kweli na hivyo kuleta sintofahamu kwa mkoa na umma wa Watanzania.
Taarifa: ITV Tanzania
Hata hivyo Mpiga Mkwara Mkuu asisahau kuwa kwa Kawaida Jambo la Kwanza huwa linashika zaidi Sikioni hata kama baadae likija Kukanushwa.
Taarifa: ITV Tanzania
Hata hivyo Mpiga Mkwara Mkuu asisahau kuwa kwa Kawaida Jambo la Kwanza huwa linashika zaidi Sikioni hata kama baadae likija Kukanushwa.