Bro kwanini hujachukua Mfano kwa Anthony Mtaka? Jokate kafanya kipi Cha ajabu kisarawe upande was Elimu ambacho kimeleta matokeo chanya?Mimi nadhani hana haja ya kuhofu. Ajifunze kwa Jokate namna ya kuboresha elimu. Ajue pia kwenye orodha kuna ya kwanza na ya mwisho.
Hivi bwana bhya mkanwa ndo aling'oa bustani za mbowe?Pole zake bwana kaka. Ang'oe ujinga kama alivyong'oa bustani za watu kule Hai
Mbona hamumtaji jina? Sio kila mtu anawafahamu hawa wateule wa jiwe!Anaogopa kufutwa cheo
Bila majungu, uzandiki, fitina na unafiki mambo hayaendi sio? Poleni sana asee...Nawaomba na hawa Watu wa Baraza la Mtihani nao waje na Majibu Kwake kuwa wanamuomba waende nae Kumpima Akili kama zimetimia hasa.
Kwa Takwimu kama si Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa huu ni Uzi wa Pili kumhusu huyu Bwana wako na mwambie aache Upumbavu sawa?Bila majungu, uzandiki, fitina na unafiki mambo hayaendi sio? Poleni sana asee...
Mambo yenu magumu na mazito sana. Huyo blaza wa ntwara kakukosea nini huu uzi wa tatu unamfungulia...
@Allrounder. Popote utakaponiona una beer zako mbili.Sasa kama tu Mkuu wa Mkoa ni Nonsensical namna hii kuna haja tena ya Sisi wengine kuendelea Kuhoji kwanini Mkoa wake umeongoza Kufelisha?
Huyo Msigwa wa Ikuku ndio yupi??
Kwani Gerson Msigwa yuko wapi Kiutendaji? Hujanielewa nini hapo tofauti na Wengine walionielewa mapema tu na wala hawajahoji kama Wewe?Huyo Msigwa wa Ikuku ndio yupi??
Wanna be..Kwa Takwimu kama si Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa huu ni Uzi wa Pili kumhusu huyu Bwana wako na mwambie aache Upumbavu sawa?
Anaitwa Zambi na zambi zakeMbona hamumtaji jina? Sio kila mtu anawafahamu hawa wateule wa jiwe!
Zambi wa Lindi, Ntwara anaitwa Gelasius ByakanwaAnaitwa Zambi na zambi zake
Hapa taasisi za serikali zitarushiana mpira kuhusu suala hili.Tatizo la mkoa wetu ni la kijamii zaidi,kama jamii itabadili imani za potofu za kuwacheza ngoma watoto,ndoa za utotoni ufaulu hauwezi Kuala mkubwaMkuu wa Mkoa wa Mtwara ameliomba Baraza la Mitihani nchini kukanusha taarifa inayosambaa mitandaoni ikisema shule kumi za mwisho kitaifa zinatoka mkoani Mtwara jambo ambalo si kweli na hivyo kuleta sintofahamu kwa mkoa na umma wa Watanzania.
Taarifa: ITV Tanzania
Hata hivyo Mpiga Mkwara Mkuu asisahau kuwa kwa Kawaida Jambo la Kwanza huwa linashika zaidi Sikioni hata kama baadae likija Kukanushwa.