Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,917
- 1,660
Wana JF,
Dereva wa mbunge wangu ambaye ni Waziri wa Maji asubuhi wakati tunapata supu kwa nguluma hapa Mwanga alipokea simu kutoka mahali anapopajua yeye na kusema kuwa ameambiwa apeleke gari TEMESA kama ana mafuta basi mpaka saa kumi leo awe amefikisha gari la serikali Dar.
Wakati huo huo mchana wa saa tano nilikuwa naenda Mjini Ms nikapata Lift ya gari binafsi la Mbunge wangu akienda KIA! Njia nzima alikuwa akimlaani Kinana na Lembeli kuwa ndio chanzo cha yote!
Natumaini yametimia mkuu kawaita ghafla
Dereva wa mbunge wangu ambaye ni Waziri wa Maji asubuhi wakati tunapata supu kwa nguluma hapa Mwanga alipokea simu kutoka mahali anapopajua yeye na kusema kuwa ameambiwa apeleke gari TEMESA kama ana mafuta basi mpaka saa kumi leo awe amefikisha gari la serikali Dar.
Wakati huo huo mchana wa saa tano nilikuwa naenda Mjini Ms nikapata Lift ya gari binafsi la Mbunge wangu akienda KIA! Njia nzima alikuwa akimlaani Kinana na Lembeli kuwa ndio chanzo cha yote!
Natumaini yametimia mkuu kawaita ghafla