Vilipuzi alikuwa navyo?Ligaidi linaendelea kusota.
Ndio namna ya kusafisha mashitaka ya kuokoteza.Wanajichelesha tu hii kesi itachukua miaka kibao
USSR
Labda.Vilipuzi alikuwa navyo?
Ligaidi la chato mbona limeshaoza limebakia fuvu..Ligaidi linasota likiwa hai.
Dah we magonjwa ndoloshi sanaLigaidi linaendelea kusota.
Duh kumbe JF kuna wakosa akili kama wwMatendo tu ya wafuasi wa Mbowe ni ushahidi tosha kuwa jamaa alikuwa anwafundisha uovu na ujambazi dhidi ya Serikali. Fanya utafiti mdogo tu kwa wale wote wanao Mshabikia Mbowe utabaini kuwa; wengi wao ni watu wana matendo maovu sana...
Mkuu, Mahakama ikisema haina mamlaka ya kusikiliza itamwachia huru Mbowe na wenzake. Ikisema ina mamlaka, itaendelea kusikiliza. Pingamizi hilo ni la kisheria na ni kuhusu mamlaka ya Mahakama.Erythrocyte ,
..Ni kweli inachanganya Mbowe kushtakiwa kwa tuhuma za ugaidi ktk mahakama ya uhujumu uchumi...
Mifisadi inaendelea kutualibia taifaLigaidi linaendelea kusota.