Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,608
- 25,988
Ligaidi limerudishwa lupango na linaendelea kusota.Anayesota kule kuzimu...
Ligaidi limerudishwa lupango na linaendelea kusota.Anayesota kule kuzimu...
Good answerKuchelewa kwa ajili ya haki ni bora kuliko kuwahi uvunjifu wa sheria
Una uzoefu wa kuota. Tena siyo ndoto za usiku bali za jua kali na makali ta tozo.Unaota.
Wewe huna uzoefu wa kuota. Hapo ngoma droo.Una uzoefu wa kuota...
Bado hiyo picha haitoshi. Weka nyingine zaidi.
una umri gani ?Mawakili wa Gaidi tayari wameona ngoma nzito hivyo wameanza kukata tamaa mapema, nia yao aibu za mbowe zisiwekwe hadharani hivyo wanatamani afutiwe tu kesi, isisikilizwe.
MpuuziLigaidi limerudishwa lupango na linaendelea kusota.
I hate youLigaidi linaendelea kusota. Likifa na lenyewe litaliwa na mchwa, usiwe na wasiwasi.
Kwa kuogopa aibu, watamwachia kupitia haya mapingamizi kwa kutekeleza maagizo kutoka juu.Wamwachie tu Mbowe wa watu
Unajiaibisha sana. Wapi duniani ulishasikia ugaidi unasemwa ni wa thamani fulani?. Ugaidi unaelezwa kwa madhara yake na siyo thamani yake. Shame on youMawakili wa Freeman Mbowe ambaye ni Mwamba wa siasa za Tanzania, anayeshitakiwa na serikali ya Tanzania kwa makosa ya Ugaidi wa thamani ya hela za madafu shilingi laki 6, Wameiwekea pingamizi kesi hiyo kwa madai kwamba Mahakama ya Uhujumu uchumi na Rushwa, ambako kesi hiyo imepelekwa haina uwezo wa kusikiliza kesi ya Ugaidi.
Mahakama imepokea pingamizi hilo na inatarajia kulitolea uamuzi kesho saa 3 asubuhi.
Mungu ibariki Chadema
View attachment 1918046
=========
Mahakama kutoa uamuzi pingamizi la Mbowe na wenzake
Dar es Salaam. Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi kesho Jumatano Septemba 1, 2021 itaamua pingamizi la Mbowe na wenzake kama mahakama hiyo ina mamlaka ya kusikiliza kesi yao ama la.
Mbowe na wenzake wameipinga mahakama hiyo kuwa haina mamlaka ya kusikiliza kesi yao kwa mashtaka ya ugaidi na kwamba kwa mujibu wa Sheria ya Kuzuia Ugaidi kesi yao inapaswa kusikilizwa na Mahakama Kuu ya kawaida na si hiyo ambayo ni Divisheni Maalum.
Serikali imepinga hoja hizo ikidai kuwa kwa mujibu wa marekebisho ya sheria mbalimbali namba 3 ya Mwaka 2016 makosa yaliyoko kwenye Sheria ya Ugaidi yaliwekwa kwenye Sheria ya Uhujumu Uchumi na kwamba kwa hali hiyo mahakama hiyo ya ufisadi ina mamlaka ya kusikiliza mashtaka yao.
Jaji Elinazer Luvanda baada ya kusikiliza hoja za pande zote ameahirisha kesi hiyo hadi kesho Jumatano asubuhi atakapotoa uamuzi.
Chanzo: Mwananchi
Sawa.I hate you
Hata wewe ni mpuuzi.Mpuuzi
Hakuna neno kama umethibitisha hiloHata wewe ni mpuuzi.
Labda kama unamtukana Sirro aliyeleta hicho kiwangoUnajiaibisha sana. Wapi duniani ulichasikia ugaidi unasemwa ni wa thamani fulani?. Ugaidi unaelezwa kwa madhara yake na siyo thamani yake. Shame on you
Mawakili wa serikali wao ni Mbumbumbu siku zote , Lissu kishasema haya miaka na miaka , kuhusu akina Kibatala kuweka pingamizi hilo , hii ni muhimu sana, kwa vile ikiwa tunataka haki basi ni vema mchakato wa kuipata haki yenyewe upite kwenye njia sahihiErythrocyte ,
..Ni kweli inachanganya Mbowe kushtakiwa kwa tuhuma za ugaidi ktk mahakama ya uhujumu uchumi...
Soma hapa: Economic and Organised Crime Control Act Cap. 200 R.E. 2019. | Tanzania Legal Information InstituteMawakili wa Freeman Mbowe ambaye ni Mwamba wa siasa za Tanzania, anayeshitakiwa na serikali ya Tanzania kwa makosa ya Ugaidi wa thamani ya hela za madafu shilingi laki 6, Wameiwekea pingamizi kesi hiyo kwa madai kwamba Mahakama ya Uhujumu uchumi na Rushwa, ambako kesi hiyo imepelekwa haina uwezo wa kusikiliza kesi ya Ugaidi...