GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Hoja yako haina uhusiano na majibu ya mahakama, ndio maana mna fail, nahisi itakuwa la saba
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa huwa simuelewi kabisaa.
Maalim Seif ndio chanzo cha Aboud Jumbe (God rest his soul) kufungwa kizuizini maisha yake yote hadi mauti ulipomkuta Kigamboni, kichekesho ni kuwa baada ya kutoswa Urais wa Zanzibar akaanza harakati zile zile za Aboud Jumbe.
Jamaa hafai kabisa na hata alivoingizwa kwenye serikali ya muafaka wa kitaifa alifanya nini zaidi ya kufurahia ving'ora?
Alifika mahali anadai yeye haitambui serikali ya Rais Shein lakini anataka atambulike kama Makamo wa Rais Shein.
Aibu tupu.
Sent using Jamii Forums mobile app