Masasi-Masasi
Senior Member
- Sep 17, 2018
- 190
- 114
Leo Nyumbu wanaisifu Mahakama kwa Nyimbo na Mapambio lakini ingekuwa ndivyo sivyo povu cha Mtoto, ebu Muulize Mashauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu uhuru ni tanu/ccm tu!!maalimu tangu 1990 anagombea yeye tu na kipuga hela za chama leo anakagua nini
wenzake wamekata rufaa.akafundishe madresa
Aliyempa ruzuku lipumba ni lazima aitapike .Alafu mbona mnaamisha magoli katika hii kesi hakuna mshindi
alichosema judge bodi ya wadhamini iliyoundwa na lipumba ilikiuka sheria ya 26 kifungu kidogo cha 17
Uundwaji wa bodi ya wadhamini wa chama sheria inataka msajili asimamie zoezi kwa sababu lipumba hakufanya hivyo bodi yake imetenguliwa na judge ameitaka cuf ifuhate proces za kikatiba na matakwa ya kisheria na kisha waunde bodi upya nyinyi hapa mnashangilia nini?
Pili ,,huu ni mtego kwenu timu seif
Kama katika ili mnatambua mamlaka na usimamizi wa msajili wa vyama vya siasa,, hapa leo mnassuport kama sheria zilikiukwa kwa kukosa msimamizi kutoka ofisi ya msajili
Kesi yenu ya Ijumaa tarehe 22
Uwarali wa lipumba katika nafasi ya uwenyekiti mpira utarudishwa tena kwa msajili
Kama leo mnakubali mamlaka ya msajili basi na Ijumaa mkubali hukumu kwamba lipumba bado ni mwenyekiti wa chama taifa kwa mujibu wa mamlaka aliyonayo msajili ya kumtambua lipumba kama mwenyekiti harali wa cuf kwa mujibu wa katiba
huku mmepulizwa kule mtang'atwa...mjiandae kisaikolojia..
Sent using Jamii Forums mobile app
uko upande wa shetani , hutaweza kushindaMkutano Mkuu wa chama cha CUF ndio unatakiwa uitishe huo ukaguzi Seif Sharif Hamad hana mamlaka hayo !! Mwenyekiti wa CUF Taifa ndie anatakiwa aitishe mkutano Mkuu wapitishe hiyo agenda na kuidhinisha fungu la pesa la kumlipa CAG kufanya hiyo Special Audit.Seif hana ubavu wa kuitisha special audit ya chama hiyo kuitisha inahitaji resolution ya mkutano Mkuu wa CUF taifa
maalimu tangu 1990 anagombea yeye tu na kipuga hela za chama leo anakagua nini
wenzake wamekata rufaa.akafundishe madresa
Bodi mpya inatakiwa kuundwa ya Maalim Seif ilishamaliza muda kitambo kirefu.Jaji anataka bodi mpya hiyo kuundwa mkutano Mkuu hauepukiki bodi mpya ni mkutano Mkuu ndio wenye uwezo wa kuweka bodi mpya Lipumba mwenyekiti Taifa ndio mwenye ubavu huo wa kuuitusha huo mkutano Mkuu.uko upande wa shetani , hutaweza kushinda
uenyekiti feki wa Lipumba mwisho kesho kutwa , hii ni baada ya mil 300 kushtukiwa na awe tayari kutapika ruzuku yote ya cuf aliyokula kwa kushirikiana na tapeli mwenzie MutungiBodi mpya inatakiwa kuundwa ya Maalim Seif ilishamaliza muda kitambo kirefu.Jaji anataka bodi mpya hiyo kuundwa mkutano Mkuu hauepukiki bodi mpya ni mkutano Mkuu ndio wenye uwezo wa kuswekwa.Lipumba mwenyekiti Taifa ndio mwenye ubavu huo wa kuuitusha
Kwanini unakwepa ukaguzi wa pesa??maalimu tangu 1990 anagombea yeye tu na kipuga hela za chama leo anakagua nini
wenzake wamekata rufaa.akafundishe madresa
hasa kwa jiweHii hukumu imenifurahisha sana, mida hii simu ya Lipumbavu ipo bize kwa Jiwe na Mtungi
maalimu tangu 1990 anagombea yeye tu na kipuga hela za chama leo anakagua nini
wenzake wamekata rufaa.akafundishe madresa
Hakuna zuri kwa Maalim, ijumaa itakua upande wa profIjumaa ndiyo kesi yenyewe kama Lipumba ni Mwenyekiti halali wa CUF au la!
CUF inaponywa au inazorora zaidi Ijumaa hii lkn dalili ni nzuri sana kwa Maalim
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tusubiri Ijumaa .Si mbaliIjumaa ndiyo kesi yenyewe kama Lipumba ni Mwenyekiti halali wa CUF au la!
CUF inaponywa au inazorora zaidi
Sent from my iPhone using JamiiForums
kulikuwa na uchafu wa milion 300 ambao wasamalia wema waliustukia na wakaamua kuuweka hadharani , hii yaweza kuchangia haki kupatikanaIjumaa ndiyo kesi yenyewe kama Lipumba ni Mwenyekiti halali wa CUF au la!
CUF inaponywa au inazorora zaidi Ijumaa hii lkn dalili ni nzuri sana kwa Maalim
Sent from my iPhone using JamiiForums
kwa akili yako ya kawaida tu uliyopewa na Mungu unadhani sarakasi za lipumba ni halali ?