Kumekucha Korea, nyambizi kubwa ya mmarekani yawasili

kuna sehemu nimesoma kuwa haya madude manyambizi ya mmarekani,mengi ni stealth mode kwa maana hiyo sio rahisi kuyaona ktk radar za kijeshi.

mngurumo wake ni wa kimya kimya na kwa siri kubwa.

hata likikatiza mita chache kutoka kwa ilipo kambi ya jeshi letu la maji pale kigamboni,sio rahisi kugundua.

sasa kwa nyinyi mnaombeza mmarekani,mjiulize lile nyambizi limekwepa mitego mingapi ya maadui tokea siku linaanza safari yake marekani mpaka leo kuibukia korea?mkipata jibu,mtumieni mnyoa kiduku kwa njia ya "wasapu".
 
hii itasaidia vipi uchumi wetu uweze kupanuka?
Kule vitani tuwapeleke kina Mshana jr.Mzizi Mkavu na vigagula wengine ili nchi tutakayokubaliana nayo tuingie nayo mkataba wa kuroga maadui mpaka wakome,tunatengeneza vita ya maji maji amaizing.tutapiga noti hijapata wahi ona toka dunia imeumbwa
 
kuna sehemu nimesoma kuwa haya madude manyambizi ya mmarekani,mengi ni stealth mode kwa maana hiyo sio rahisi kuyaona ktk radar za kijeshi.

mngurumo wake ni wa kimya kimya na kwa siri kubwa.

hata likikatiza mita chache kutoka kwa ilipo kambi ya jeshi letu la maji pale kigamboni,sio rahisi kugundua.

sasa kwa nyinyi mnaombeza mmarekani,mjiulize lile nyambizi limekwepa mitego mingapi ya maadui tokea siku linaanza safari yake marekani mpaka leo kuibukia korea?mkipata jibu,mtumieni mnyoa kiduku kwa njia ya "wasapu".
Ni nchi chache sana zenye uwezo au zana za kudetect subs kwa Africa nadhan itakua South Africa na Misri. Kwa nchi hiz nyngne km zetu inaweza ikakaa hata mwaka na tusiigundue labda wavuvi waivue kwa bahat mbya
 
Unajua U.S hajawahi kuhisi maumivu ya machafuko kama anavyo wafanyia nchi za kiarabu......i wish itokee kwa raia wake ndio atauona moto.
 
Mmarekani huwa haogopi kama wengi mnavyodhani jamaa huwa anajifanya kama mwoga kumbe shida yake ni kukuondoa kwenye tension then utashangaa siku anakupiga kwa kushtukiza na hautoamini

Mfano mzuri ni kule syiria kunakipindi mmarekani alionekana kushindwa lakini juzi kamchapa assad na huyo puttin kakaa kimya
Kesha kwambia yy C mwarabu
kuchelewa kwa hili picha
jamaa kichwa kinauma kumbuka IS wanajipanga washirika wanajitenga
 
Kesha kwambia yy C mwarabu
kuchelewa kwa hili picha
jamaa kichwa kinauma kumbuka IS wanajipanga washirika wanajitenga
Hata wakt wa Syria ilikua hvyo lkn aliposhambulia walimpongeza na nchi km Turkey kujitolea kuunga mkono operation yyte ambayo US ingetaka kufanya ndan ya Syria.
Wazungu kwenye maslahi yao wanakua pamja ht iweje.
 
Kuna watu wamejazwa chuki miskitini kuihusu marekani. Kwa ujinga wao ndio hao hao wanaoamini korea kaskazin anaweza akampiga mmrekani kweli? Hivi mnaakili?
Umerogwa Kinana kwa hiyo ukristo ushaamini umeshikwa na USA tafuta dini mapema kabla chance hazija jaa Kiduku number mbaya
 
Mimi ni mkristo na simpendi mmarekani Nk hakuwahi kuwa rafiki yangu ila kwa uwezo aliounyesha namfagilia hasa kumvimbia usa ambae amezoea mambo ya KISENG pia Nk kawahi pigana na USA kile kipindi ambapo south korea alikuwa akisaidiwa na western superpowers na North korea alikuwa akisaidiwa na russia na china Marekani alikula nduki kama alivyokula nduki vietnam hivyo USA si mgeni kwa North korea pia hakuna silaha ambayo USA ipo halafi ikosekane north Korea ila zinatofautiana majina pia NK hatumii silaha za USA au Israel waarab hupigwa kirahis kwa kuwa silaha zao nyingi hununua huko western world na hawatengenezi ila wanapesa za kuagiza hivyo ni very simple kutaitiwa so this is contrary to North Korea ambao wanafyatua wenyewe kwa msiojua historia mwaka 1952 Soviet ilijenga kiwanda cha ndege vita na chuo cha urubani pamoja aviation engineering institute na korean war ikatokea baadae marekan akikula nduki na niwaambie tu kuwa marekani hashindi hii vita hiwezi shindana na nchi ambayo masomo ya vita yapo tangu kindergatten halaf mkumbuke tu kuwa Nk ni mojawapo ya mataifa yenye historia kubwa ya kijeshi.
 
kuna sehemu nimesoma kuwa haya madude manyambizi ya mmarekani,mengi ni stealth mode kwa maana hiyo sio rahisi kuyaona ktk radar za kijeshi.

mngurumo wake ni wa kimya kimya na kwa siri kubwa.

hata likikatiza mita chache kutoka kwa ilipo kambi ya jeshi letu la maji pale kigamboni,sio rahisi kugundua.

sasa kwa nyinyi mnaombeza mmarekani,mjiulize lile nyambizi limekwepa mitego mingapi ya maadui tokea siku linaanza safari yake marekani mpaka leo kuibukia korea?mkipata jibu,mtumieni mnyoa kiduku kwa njia ya "wasapu".
Hivi mkuu viroba vinapatikania wapi
 
Back
Top Bottom