mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,036
Kwa sasa USA wanataka "peaceful denuclearization" of the Korean peninsula! Yaani kwa sasa marekani wanahitaji "njia za amani" za kuondoa silaha za nuklia kwenye rasi ya Korea (wakimaanisha Korea ya kaskazini maana ndo mwenye nazo).
Sasa jiulize kwa nini Leo anataka njia za amani? Si alikuwa anatamba kwa kuanza mazoezi ya kivita na vitisho chungu mzima!
Jibu ni rahisi! keshaona NK ni MAJI marefu si kama Iraq, Libya au Syria!
Si suala LA kuingia kupiga! Ni suala LA kupigana! Sasa marekani ni waoga sana! Anataka kupiga lakini hataki hata kuchubuliwa tu! Kwa maana hiyo hawezi kabisa kusogeza pua yake Korea ya kaskazini!
Sasa jiulize kwa nini Leo anataka njia za amani? Si alikuwa anatamba kwa kuanza mazoezi ya kivita na vitisho chungu mzima!
Jibu ni rahisi! keshaona NK ni MAJI marefu si kama Iraq, Libya au Syria!
Si suala LA kuingia kupiga! Ni suala LA kupigana! Sasa marekani ni waoga sana! Anataka kupiga lakini hataki hata kuchubuliwa tu! Kwa maana hiyo hawezi kabisa kusogeza pua yake Korea ya kaskazini!