dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,124
- 49,380
... Saudia hadi muda huu zaidi ya masaa 72 tangu adondoshewe drones bado anaduwaa! Pamoja na utajiri wote wa wese, inaonekana preparedness yake ya majanga ni ndogo mno!Nampenda Israel sababu sio mwoga. Saudi kapigwa ila hajui afanye nini