RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,123
Mambo ni moto.Halafu eti anataka kupigana na Hizbullah au Iran huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ni moto.Halafu eti anataka kupigana na Hizbullah au Iran huyu
Wapiganaji wanajificha nyuma ya raia je unataka na raia pia wapigwe?Eti nchi inayo tumia mabilion ya $ kwa ajili ya jeshi lake leo hii inaenyeshwa na kikundi cha watu 30,000 tena kinacho tumia silaha duni.View attachment 1781831
Ni lini Israel ikawa na huruma na wapalesitina?Wapiganaji wanajificha nyuma ya raia je unataka na raia pia wapigwe?
Maana Israel latoa Tangazo raia wote wajitenge na Hamas la sivyo watauwawa maana kila panapofuka moto patalipuliwa kabisa ndio kinachoendelea... na Hamas wao hawajali wanarusha rocket wawaue waisrael wowote ndio lengo lao ila Israel akichoka atapiga kila kitu muanze kulia lia
Teravivu inawaka moto.Halafu eti anataka kupigana na Hizbullah au Iran huyu
Labda huangalii live kinachotokea, Israel haiangushi jengo kabla ya kutoa warning watu waliopo waondoke.Ni lini Israel ikawa na huruma na wapalesitina?
Sasa Iran ananini? Tatizo lenu mnajiamini sana halafu mwisho wa siku mnatandikwa. Waarabu hawajawahi kuwa na akili hata siku mojaHalafu huyu ndio anataka kuapmbana na Iran View attachment 1781775
Kama alivyokua hana akili babayako auSasa Iran ananini? Tatizo lenu mnajiamini sana halafu mwisho wa siku mnatandikwa. Waarabu hawajawahi kuwa na akili hata siku moja
Sent using Jamii Forums mobile app
We mtu hadi sasa only 5 missle out of hundreds ndo zimeshuka Jerusalem na less than 10 wekufa yaan kama ni kufanikiwa bas wamefanikiwa for 0.001% israel wametoa taarifa wapi wanapiga na more than 30 people wameenda,, huoni hapo,, kama Palestine na hamas wanakanyaga motoKama alivyokua hana akili babayako au
Only 5 missle? Yaaani uko mbagara nyuma ya keyboard alaf unazungumza utoporo, ingia kwenye mitandao ufuatilie habariWe mtu hadi sasa only 5 missle out of hundreds ndo zimeshuka Jerusalem na less than 10 wekufa yaan kama ni kufanikiwa bas wamefanikiwa for 0.001% israel wametoa taarifa wapi wanapiga na more than 30 people wameenda,, huoni hapo,, kama Palestine na hamas wanakanyaga moto
Then kama hujui air raids za Israel kwenda iran ni sawa na routine za kawaida za pilots wa F 15 eagle za IDF,,, mlimshindwa kipindi anapewa taifa 1948 yupo weak kabisa mtamuweza now??
Teravivu ni wap?Teravivu inawaka moto.
Alafu eti kila siku wanajisifu eti wana mifumo ya ulinzi isiyo shindika.
Kama viroketi vinavyo tengenezwa kienyeji vina penya na kushabisha maafa kama haya ,vipi yale makombora ambayo Iran iliyatumia kukishambulia na kukiharibu kituo cha kijeshi cha Marekani Teravivu si ingekuwa majivu.View attachment 1781858
Imepiga wapi zaid ya bus, jeep na nyumba ya watu ambao casualties hawazidi kumi, mm nasema missle zilizohit ground maana ,,, unaongelea nn ww,, au unadhan ndo mara ya kwanza hamas kurusha missles eti unadanganya watu kabisa RAFAEL DEFENSE SYSTEM ishindwe ni vi hamas,,,, nyoooo anagalia casualties uoneOnly 5 missle? Yaaani uko mbagara nyuma ya keyboard alaf unazungumza utoporo, ingia kwenye mitandao ufuatilie habari
Unasikia kwa nani?Naskia Israel imechezea kichapo kwenye miji yao kunawaka moto
Inawaka moto gani mpaka sasa hamas wamerusha makombora 1000 lakini watu 7 tu upande wa Israel tatizo magaidi ya hammas hawajali wanarusha hovyo hovyo hamajali raia wa Israel kufa ila israel inachagua pakupiga ila yakijibiwa msiseme Israel inaua watoto na kina mamaTeravivu inawaka moto.
Alafu eti kila siku wanajisifu eti wana mifumo ya ulinzi isiyo shindika.
Kama viroketi vinavyo tengenezwa kienyeji vina penya na kushabisha maafa kama haya ,vipi yale makombora ambayo Iran iliyatumia kukishambulia na kukiharibu kituo cha kijeshi cha Marekani Teravivu si ingekuwa majivu.View attachment 1781858
Nyie magaidi hamjawahi kuwa na akili. Endeleeni kukata watu shingo huku mkisoma kuran ili mpate thawabu kwa Allah. Endeleeni kujilipua muuwe binadamu wenzenu huku mkiaamini peponi mtapewa makao mazuri. Hamjawahi kuwa na akili zaidi ya kufundishana eti mkifa peponi mtapewa mabikra 72 kweli matahira ni matahira tu.Kama alivyokua hana akili babayako au
Jifunze kuandika bintiKuanzia Leo nimlizalau jeshi la Wayahudi yani wanapigwa na Hamas .haya kweli no maajabu