STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,566
#BREAKING: #Iran informs IAEA it will start 60% uranium enrichment from tomorrow, to introduce 1,000 more centrifuges at #Natanz nuclear facility.
The entire operation has been filmed and soon will be released.Nilimwambia Rais wa Iran aachane na mpango huu hasikii! mimi ndo huyo hapo kushoto mwa Netanyau nikmshauri afanye mazungumzo asimwage damu mwezi june
bahati mbaya picha imekataa
Kwahio umeweka na chopa hasaa ili uzi uvutie bongo nyosooo
Iran has reported a electrical incident at the Natanz nuclear site, no casualties Iran reports electrical incident at Natanz nuclear site, no casualties
Kwani hio habari chanzo chake ni kutoka wapi? Alafu ulivyokua unapenda movies za Rambo ukatuletea chopa ili uwongo ukolee??
Israel uwezo wa kuifanyia Iran chochote mnao kwani Mungu siku zote atakuwa upande wenu kama maandiko yanavyosema (biblia).
Iran ni maneno mengi ila inapigika kirahisi tu.
Mkuu, hivi wanaposema cyber attack inamaanisha nini? Sasa hapo chopper gunships zinahusika vipi, ingawa unasema picha haziusiani na matukio, sasa inazibanfika hapa ukiwa na lengo la ku-pre empty kitu gani? Mnapenda penda sana ku- exaggerated mambo hasa yanayo husu Israel na maadui zake.
Serikali ya Iran inasema kilicho tokea ni power outage kutokana na kuingiliwa kwa mfumo wa kuzalisha umeme wa kuendeshea mitambo yao, hii si mara ya kwanza mitambo ya Iran ya kuzalishia plutonium kuingiliwa na virus na kuisabibishia uharibifu.
Hapa naona magazeti pamoja na vyombo vya habari vingine vya huko Israel vinaweka chumvi mno, eti "uharibifu ulikuwa mkubwa mno kuliko Iran inavyo sema/kili!"
Binafsi naona hujuma hizo zimetekelezwa na Israel intel agents au Wairan wasaliti wanao lipwa na Israel kuhujumu efforts za Iran kizalisha plutonium,kumbuka Iran ina raia-wengi wenye asili ya Israel/Jews kama ilivyo Taifa la Urusi kuna Jews wengi tu.
Hujuma hii bila shaka imetekelezwa na Israel baada ya kukasirishwa na utawala wa Merikani/Biden kutaka kuwa na mazungumzo na Iran yenye lengo la kuiondolea Iran vikwazo vya kiuchumi kama Wairan watakubali ku-comply na mashariti ya kusitisha vinu vyake kuzalishaji weapon grade Plutonium.
Ni wazi Biden na utawala wake hawawezi kukubali kuwa blackmailed na Natenyahu ambaye ni Waziri Mkuu wa Israel anae g'ang'ania kwenye madaraka na anatamani sana majeshi ya USA na washirika wake kuishambulia Iran.
Hii ni habari ya zamani,sasa Iran imewatuhumu Israel kuhusika:
source:IDHAA YA KISWAHILI | DW
Hivi kea Nini Iran hajawahi kufua dafu kwa Israel katika nyanja yoyote?Aise nimecheka wanavyoichukia iran mpaka wanaamua kupotosha uma. Midege yenyewe iyo ni apache kama sikosei vita ya iraq hiyo, jamaa akaamua atuingize mjini
Hivi kwanini siku moja Israel wasilipue kasri la ayattolah ili iwe onyo kwa Iran
Iran kelele mingi hawana lolote.Wameficha vinu vya nyuklia mita 50 chini ya ardhi kuzuia mashambulizi ya ndege, Israel wamekuja kitofauti,wametumia "Cyber Attack!"🤣Hivi kea Nini Iran hajawahi kufua dafu kwa Israel katika nyanja yoyote?
Tuone hiyo ArmageddonIsrael Is Behind Blackout At Iran Nuclear Facility, Israeli Media Reports
An underground atomic facility experienced power network outages Sunday, Iran said.www.google.com
View attachment 1749769
View attachment 1749770
View attachment 1749771
View attachment 1749772
Picha hazihusiani na matukio:
Photos of Israeli AH-64 Apache attack Helicopters delivered precision guided missiles during combat...
Walikuwa na njaa wakajisahau kidogo, ngoja mfungo uishe.Nimeisikia iran ikilalamika sana na kudai italipa kisasi.
Kumbe wanaweza kushambuliwa kindezindezi hivi na mikwala yao ni bure kabisa kwa Israel.
Umeshawai kuskia kuna msemaji wa Israel?Nimeisikia iran ikilalamika sana na kudai italipa kisasi.
Kumbe wanaweza kushambuliwa kindezindezi hivi na mikwala yao ni bure kabisa kwa Israel.