Mmh sijui kama wao wamiliki wa nyumba wanaweza kukurupuka na bei zao tuu.. lakin poa kuna chama ambacho kinatetea walaji... pia hali ilivyo sasa kama kuna mwenyenyumba kawaza kupandisha bei imekula kwake... bora nikajenge ya udongo kuliko hzo mambo... lakin wadau kila mwenye kipato na alipe kodi... TRA ninaamini ni watu wenye weledi hawezi kuweka kodi ili kumuumiza mwananchi...