Kumekucha Bungeni - PICHA za wabunge wapya wakiwa Dodoma

Status
Not open for further replies.

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
attachment.php


sitta_kilango.jpg

Mbunge wa Jimbo la Urambo mashariki Samwel Sitta akisalimiana na Mbunge wa Same Mashariki Anna Kilango.

sitta_mdee.jpg

Samwel Sitta Mbunge wa Jimbo la Urambo Mashariki na Spika wa bunge lililopita ambaye pia anagombea nafasi hiyo tena mwaka huu akipongezana na Mbunge kijana wa jimbo la Kawe HalmaMdee katika viwanja vya Bunge
kamata.jpg

JAMAAANI BUNGENI: Wabunge CCM kupitia viti maalum Vicky Kamata, akiwa na mwenzake katika ofisi za bunge leo ndio vijana hawa wa bunge.

sugu.jpg

Joseph Mbilinyi mhasisi wa bongo foreva aka Mr II akiwa katika pozi nje ya mjengo wa bunge baadhi ya watu walisema kuwa hataweza lakini mvua ya ushindi wa kura alizopata kutaka kwa wananchi wa jimbo la Mbeya mjini ndizo zilizowakata ngebe wabaya wake.

slaa_bungeni.jpg

Aliyekuwa mgombea wa urais kupitia chama cha CHADEMA Dr,Willibrod Slaa akisalimiana na baadhi ya wabunge katika jengo la bunge leo jijini Dodoma baada ya kuwasili katika mkutano na wabunge wake leo mchana. Katikati ni mheshimiwa mbunge Dr. Hassani Mwinyi.​


Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa jimbo la Hai Freeman Mbowe akijisajili katika ofisi za bunge leo huku Afisa wa Bunge Asia Poul Minja akishuhudia.

attachment.php
Sugu akiongea na wandishi wa habari katika eneo la Bunge leo , aliwaambia waandishi kuwa kuja bungeni ni kama anakuja kuanza Form I lakini baada ya kuwakuta makamanda wa habari aliofarijika sana.


attachment.php

Haya wenje na Highness na Mkosamali mjengoni

attachment.php
Waandishi mbali mbali wakiteta kiutani na mheshimiwa mbunge wa Mbeya mjini Jospeph Mbilinyi

attachment.php
Mheshimiwa Raisi Jakaya Mrisho Kikwete akikaribishwa Dodoma na watoto walifika kumlaki

attachment.php
Mheshimiwa Augustino lyatonga Mrema akijaza foem za usajili bungeni jana, nani kasema mzee kachoka??


Naomba kuwakilisha wakuu.. Aaah sio wakielekea Dodoma bali wakitinga mjengoni...
 

Attachments

  • DSC_0242.JPG
    DSC_0242.JPG
    34.3 KB · Views: 4,930
  • DSC_0359.JPG
    DSC_0359.JPG
    58.8 KB · Views: 5,255
  • DSC_0028.JPG
    DSC_0028.JPG
    68.9 KB · Views: 1,197
  • DSC_0208.JPG
    DSC_0208.JPG
    45.8 KB · Views: 1,112
  • DSC_0032.JPG
    DSC_0032.JPG
    55.1 KB · Views: 4,877
  • DSC_0217.JPG
    DSC_0217.JPG
    44.6 KB · Views: 3,816
  • DSC_0291.JPG
    DSC_0291.JPG
    40.6 KB · Views: 1,287
  • DSC_0919.JPG
    DSC_0919.JPG
    62.4 KB · Views: 4,405
  • Picha no 3.JPG
    Picha no 3.JPG
    47.9 KB · Views: 3,797
  • GO9G7576.jpg
    GO9G7576.jpg
    76.2 KB · Views: 3,765
  • Picha no 5.JPG
    Picha no 5.JPG
    62.7 KB · Views: 3,709
attachment.php

[/CENTER]
JAMAAANI BUNGENI :Wabunge ccm kupitia viti maalum Vicky Kamata, akiwa na mwenzake katika ofisi za bunge leo ndio vijana hawa wa bunge. Mie sisema maana picha zinajionyesha zenyewe bunge la mwaka huu balaaa
Hivi huyu mbunge mwingine upande wa kulia kwa Vicky Kamata ndio nani wajamani?
 
Hivi na hizi chain za miguuni zinaruhusiwa kama vazi rasmi la BUNGENI bora sijachaguliwa najihisi kubaka vile.
 
Ndio maana CHADEMA walisema viti maalumu si pahala pakupeleka watu wasio na staha, ona nini sasa.

attachment.php
 
Hivi ni pamoja na wale waliopita bila kuchaguliwa, maana katika Katiba ya sasa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hakuna wabunge wa aina hiyo. Au wana JF wakereketwa mnasemaje yaani tuwaache wapete hivi hivi?? NOOOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!! Mpaka kieleweke!!!!!!
 
Hahahahah! mi sisemi kitu, ila naomba bunge lisiishe ili tuanze upya uchaguzi kabla hata ya bajeti ijayo mwakani. Naimani na hayo maneno, maana kuna kila dalili za kuvunja bunge ndani ya miezi michache ijayo kama Dr Slaa ataamua kuwakaba koo kiukweli.
 
Hahahahah! mi sisemi kitu, ila naomba bunge lisiishe ili tuanze upya uchaguzi kabla hata ya bajeti ijayo mwakani. Naimani na hayo maneno, maana kuna kila dalili za kuvunja bunge ndani ya miezi michache ijayo kama Dr Slaa ataamua kuwakaba koo kiukweli.

i agreee...Huyu mzee ni makini sanaaaaaa katika mambo ya msingi..mi nina mashaka na mustakabali wa taifa hili mara pale atakapozungumzia uchakachuaji wa kura uliofanya na MAJIZI ccm
 
attachment.php

Hii bila kuiwekea maelezo ingeleta maswali sana vichwani...(ni maoni yangu tu, nasikia wazee huwa wanalea sana!)
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom