NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
kumekuchaaaa!
ndo manake wamevaa vikuku miguu yote maanayake ni kuwa anapiga miguu yote miwili kama LAMPARD
Hii bila kuiwekea maelezo ingeleta maswali sana vichwani...(ni maoni yangu tu, nasikia wazee huwa wanalea sana!)
Viti maalum ni mapambo ya bunge?
Vicky Kamata Kikwete!
Nimependa kucha za Vicky Kamata Kiwete!
Rev, kwa ridhaa yako naomba kuedit hiyo typo hapo kwenye bold. Nawasilisha.
Kwa mtindo huu wa uchangiaji bwana Mchungaji 'kula ban' itakuwa ni sehemu ya maisha yako JF
Kula ban kwa kuandika Kiwete? hahahaha hebu soma vyema Kiongozi!