Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 749
- 1,797
Mbunge wa viti maalum CCM Mkoa wa Arusha ,Catherine Magige amewachefua wanaccm Wilayani Arumeru baada ya kutumia ziara yake kujijenga kisiasa kwa kutoa rushwa ya vitenge ,Fedha tasilimu ,mashine ya kusaga kwa wajumbe wa baraza kuu la UWT ili kujitengenezea mazingira ya kupigiwa kura 2020.
Magige anayetajwa kuwa na maadui wengi ndani ya chama hicho Mkoani hapa,anadaiwa kugawa rushwa hiyo kwa wajumbe hao ambao hutumika kupiga kura ya kuchagua wabunge kupitia nafasi ya UWT.
Akiwa katika halmashauri ya Meru Magige alitumia wasaa huo kuanza kampeni mapemaa huku akiwahamasisha akina mama ambao ni wajumbe wa baraza kuu la UWT wilaya Meru kujitokeza kugombea nafasi mbali mbali za uongozi ktk uchaguzi wa serikali za mtaa utakaofanyika baadae mwaka huu.
Mbunge huyo alitoa mashine ya kusaga na kukoboa yenye thamani ya Tsh.3,500,000/ na viti 100 vyenye thamani ya sh 1,600,000/ kama miradi ya UWT Wilaya ya Meru.aligawa pia vitenge kwa wajumbe hao ili kujiweka katika mazingira mazuri katika chaguzi zijazo akitajwa kugombea nafasi hiyo.
Baadhi ya wafuasi wa CCM wilayani humor wamelaani kitendo hicho na kumtaka katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru ally kumshughulikia Mara moja kwani amezoea pindi kunapokaribia uchaguzi hutenga fedha akijidai anasaidia wanaccm ,kumbe anatoa rushwa kwa wajumbe wa uwt ambayo ndio hushiriki kuchagua wabunge wa Viti maalumu ili kujijengea mazingira.
Magige anayetajwa kuwa na maadui wengi ndani ya chama hicho Mkoani hapa,anadaiwa kugawa rushwa hiyo kwa wajumbe hao ambao hutumika kupiga kura ya kuchagua wabunge kupitia nafasi ya UWT.
Akiwa katika halmashauri ya Meru Magige alitumia wasaa huo kuanza kampeni mapemaa huku akiwahamasisha akina mama ambao ni wajumbe wa baraza kuu la UWT wilaya Meru kujitokeza kugombea nafasi mbali mbali za uongozi ktk uchaguzi wa serikali za mtaa utakaofanyika baadae mwaka huu.
Mbunge huyo alitoa mashine ya kusaga na kukoboa yenye thamani ya Tsh.3,500,000/ na viti 100 vyenye thamani ya sh 1,600,000/ kama miradi ya UWT Wilaya ya Meru.aligawa pia vitenge kwa wajumbe hao ili kujiweka katika mazingira mazuri katika chaguzi zijazo akitajwa kugombea nafasi hiyo.
Baadhi ya wafuasi wa CCM wilayani humor wamelaani kitendo hicho na kumtaka katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru ally kumshughulikia Mara moja kwani amezoea pindi kunapokaribia uchaguzi hutenga fedha akijidai anasaidia wanaccm ,kumbe anatoa rushwa kwa wajumbe wa uwt ambayo ndio hushiriki kuchagua wabunge wa Viti maalumu ili kujijengea mazingira.