Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Kumresitisha in peace!Ha ha ha ha ha,kwa nini nyinyi munachukua hatua kwa wanawake wenzenu tu wanaowachukulia mabwana zenu lakini ni nadra sana kuona mwanamke anamchukulia hatua mpenzi/mume wake kama wafanyavyo wanaume?
aaaah wapi! hizo za kizamani. wengine tukifumania ujue ndio mwisho wako. hakuna msamaha, kisa cha kupangwa foleni nini!!!