great thinkers at work!!!!!!
yeah!greti sinkaaz in the makinggreat thinkers at work!!!!!!
Hi,
Kuna madhara gani ya kumega au kumegwa wakati 'mamsapu' akiwa mwezini (ndani ya zile siku 3-5 za rangi nyekundu)....
jamani!. vitu vingine vinatia hadi kinyaa kuvidiskazi.
hebu heshimu mambo ya kina mama mkuu, hii kitu si vyema kimaadili kuiongelea hapa, Loh.
hivi zile........
aaaarrrrggghhhh naona hata hasira kuandika.
jamani!. vitu vingine vinatia hadi kinyaa kuvidiskazi.
hebu heshimu mambo ya kina mama mkuu, hii kitu si vyema kimaadili kuiongelea hapa, Loh.
hivi zile........
aaaarrrrggghhhh naona hata hasira kuandika.
Mkulu, kuna kidude cha kusearch hapa nadhani mambo haya ni kwa JF dokta.
hapa wapwa na mabinamu watakwambia ni abomination. Ukiikosa kabisa basi uje uulize lakini kule kule kwenye jukwaa husika
senks
ni mtazamo wako tu....
Unaposema mwezini unamaanisha nini?au ni ktk ule mpambano wanaouchezesha kila mwezi wa Simba na Pamba?mimi sijui kama ina madhara ninachojua ni kwamba watu wanaogopa uchafu tuu!!Hi,
Kuna madhara gani ya kumega au kumegwa wakati 'mamsapu' akiwa mwezini (ndani ya zile siku 3-5 za rangi nyekundu)....