Ndiyo lazima Ndugai ajiuzulu.
Kwa kitendo cha kumdharau mteule wa Rais ni sawa pia kuwa umemdharau Rais aliye mteua.
Hii tabia ya kujipendekeza ni mbaya sana, Job amejipendekeza kwa Mh hadi akapitiliza na kumfanyia dharau Mh. Na laiti huyu jamaa angekuwa anafanya kazi na watu kama Musaba yule wa Uganda angemfukuza haraka sana na huwenda angekuwa ana ozea lupango saa hizi.
Haiwezekani ukamfanya Rais wetu mpendwa kama mtu asiye muelewa kwa kumteua prof Mussa Assad kuwa CAG.
Wakati umefika wa Ndugai kuchunguzwa kuwa haya anayo yafanya anayafanya kwa maslahi ya nani.
Na ndio maana nina sema Job Ndugai must go out.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kitendo cha kumdharau mteule wa Rais ni sawa pia kuwa umemdharau Rais aliye mteua.
Hii tabia ya kujipendekeza ni mbaya sana, Job amejipendekeza kwa Mh hadi akapitiliza na kumfanyia dharau Mh. Na laiti huyu jamaa angekuwa anafanya kazi na watu kama Musaba yule wa Uganda angemfukuza haraka sana na huwenda angekuwa ana ozea lupango saa hizi.
Haiwezekani ukamfanya Rais wetu mpendwa kama mtu asiye muelewa kwa kumteua prof Mussa Assad kuwa CAG.
Wakati umefika wa Ndugai kuchunguzwa kuwa haya anayo yafanya anayafanya kwa maslahi ya nani.
Na ndio maana nina sema Job Ndugai must go out.
Sent using Jamii Forums mobile app