thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,233
- 9,059
Utaelewa muda ukifika,nani alikwambia kura yako inaamua matokeo2 ya urais?,ubunge na udiwani sawa(System haiwezi kukabidhi nchi) sasa kama ni hivyo kura ni za nini? Si muwaambie hao system wamkabidhi wanaemtaka?