Kumbukumbu zinazomtesa mtu mweusi

Malaika Mkuu

JF-Expert Member
Nov 5, 2014
901
907
1468782214083.jpg
1468782289309.jpg
1468782320890.jpg
1468782344342.jpg
1468782366984.jpg
1468782387155.jpg
1468782413802.jpg
1468782435624.jpg
1468782501466.jpg
1468782529512.jpg
1468782567094.jpg
1468782605532.jpg
1468782631552.jpg
1468782658132.jpg
1468782679093.jpg
1468782692692.jpg
1468782720052.jpg
1468782740912.jpg
1468782756922.jpg
1468782781563.jpg
 
Ni mbaya sana...huwa napata hasira zaidi tunapoendelea kuuana kwa kukumbatia hizi dini walizotuletea...wakidanganya eti dini na Mungu wao ni wa upendo...huo ndio upendo waliofundishwa na mungu wao kweli...????!!!
 
Mtu mweusi aliteswa, anateswa na ataendelea kuteswa kama hataendeleza ukombozi wake. Mateso ya siku hizi siyo ya kimwili bali ya kifikra, na tena minyororo ya nira imepitishwa kwenye mawazo ya viongozi.
 
Picha ya pili kutoka mwisho, unajua walifungwa hizo nguo nyeupe ili wasichafue meli kwakua walikua kwenye minyororo. Kila walipopata upenyo walitoroka, sasa waliwafunga kwa usalama wa kutokutoroka, ukitaka kujisaidia juu yako.
 
Mm ndo maana nawaonaga mabwege saana wabongo wanaojfanansha na wazunngu hata kulinganisha huu ushenz unaoitwa demokrasia na ile ya hao wazungu.
 
Eti mtu mzima na akili zake oo angalieni nchi za wenzetu, walichofanya na sie tuwaige,
Watu wenye kusemaga hivyo nawaonaga kama ni kna KAONJE, coz kutwa ni kujipendekeza kwa wajinga waliotutesea babu zetu, mtu akiwa USA Or EUROPE basi anaona yupo peponi #pumbavu...tofauti ni majengo(mchanga na cement)...
...
LETS STANDS FOR OUR CONTINENT, LETS BRING POSITIVE CHANGES IN ALL ASPECT WHICH WILL ENRICH OUR GRAND DAUGHTER AND SONS.
 
Kwenye anthropology nilisoma chanzo cha wazungu kuachana na biashara ya utumwa na kuanza kuwalipa mishahara.

Ilikuwa hivi, walionunua watumwa walikua na mashamba makubwa kwa Jamaica yalikua mashamba ya miwa na ulaya, Marekani, Brazil yalikuwa mazao mengine. Watumwa walikua ndio matrekta ya kufanya kazi shambani.

Watumwa wanawake ambao umri umekwenda kidogo walipewa kazi ya kupika, walilazwa kwenye nyumba kama mabweni, asubuhi waliamshwa kwenda kazini na mchana walipewa muda wa kwenda kula na kurudi kazini. Wakati wa mavuno mwenye shamba alipata faida yote, gharama kubwa ilikuwa kununua chakula.

Ilitokea njaa kali sana Ulaya na hii ilipelekea kufanya gharama ya chakula kuwa kubwa, waliokua na watumwa walipata wazo kuwa hawa watu tukiwalipa mshahara kila wiki na kuwaambia wakajinunulilie wenyewe chakula, haitatugharimu sana.

Pesa waliopewa ilitosha kununua chakula tu na malazi yalikuwa bure. Kutoka hapo ndio mabadiliko yalianza na mashirika ya dini yalianza kuingilia kati swala la kuwaachia huru watumwa.
 
Eti mtu mzima na akili zake oo angalieni nchi za wenzetu, walichofanya na sie tuwaige,
Watu wenye kusemaga hivyo nawaonaga kama ni kna KAONJE, coz kutwa ni kujipendekeza kwa wajinga waliotutesea babu zetu, mtu akiwa USA Or EUROPE basi anaona yupo peponi #pumbavu...tofauti ni majengo(mchanga na cement)...
...
LETS STANDS FOR OUR CONTINENT, LETS BRING POSITIVE CHANGES IN ALL ASPECT WHICH WILL ENRICH OUR GRAND DAUGHTER AND SONS.
Unafahamu sisi ndio tuliendelea kutoka zana za mawe kwenda zana za chuma kabla ya mzungu. Kilichoturudisha nyumba ni uchoyo wa share knowledge. Familia ya Tereweni babu yao ni mfua vyuma, basi atachagua wajukuu wa kuwafundisha, ilipelekea famila hiyo kuzalisha jembe moja kwa mwaka. Wazungu walipogundua ujuzi wa vyuma walishirikiana na kuzalisha bidhaa nyingi zaidi, chuma walikifikisha kwenye level nyingine walipojenga reli.

Hatuwezi kuacha kuiga maendeleo ya wazungu kwakuwa walitutesa, lakini tuwe huru kujivunia utamaduni wetu.
 
Unafahamu sisi ndio tuliendelea kutoka zana za mawe kwenda zana za chuma kabla ya mzungu. Kilichoturudisha nyumba ni uchoyo wa share knowledge. Familia ya Tereweni babu yao ni mfua vyuma, basi atachagua wajukuu wa kuwafundisha, ilipelekea famila hiyo kuzalisha jembe moja kwa mwaka. Wazungu walipogundua ujuzi wa vyuma walishirikiana na kuzalisha bidhaa nyingi zaidi, chuma walikifikisha kwenye level nyingine walipojenga reli.

Hatuwezi kuacha kuiga maendeleo ya wazungu kwakuwa walitutesa, lakini tuwe huru kujivunia utamaduni wetu.
Nimekupata vilivyo mkuu
 
Kwenye anthropology nilisoma chanzo cha wazungu kuachana na biashara ya utumwa na kuanza kuwalipa mishahara.
Ilikuwa hivi, walionunua watumwa walikua na mashamba makubwa kwa Jamaica yalikua mashamba ya miwa na ulaya, Marekani, Brazil yalikuwa mazao mengine. Watumwa walikua ndio matrekta ya kufanya kazi shambani. Watumwa wanawake ambao umri umekwenda kidogo walipewa kazi ya kupika, walilazwa kwenye nyumba kama mabweni, asubuhi waliamshwa kwenda kazini na mchana walipewa muda wa kwenda kula na kurudi kazini. Wakati wa mavuno mwenye shamba alipata faida yote, gharama kubwa ilikuwa kununua chakula.

Ilitokea njaa kali sana Ulaya na hii ilipelekea kufanya gharama ya chakula kuwa kubwa, waliokua na watumwa walipata wazo kuwa hawa watu tukiwalipa mshahara kila wiki na kuwaambia wakajinunulilie wenyewe chakula, haitatugharimu sana. Pesa waliopewa ilitosha kununua chakula tu na malazi yalikuwa bure. Kutoka hapo ndio mabadiliko yalianza na mashirika ya dini yalianza kuingilia kati swala la kuwaachia huru watumwa.
nadhani hii ni moja ya sababu kadhaa zilizokuwepo...
 
Dah ukiangalia hizi picha ,halafu polisi mmoja bwege anampiga risasi mweusi mmoja ,kisha polisi anaendelea kupeta ,kwa hasira unaweza ukabariki kinachoendelea sasa hivi Marekani
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom