Leo hii nadhani ni siku muafaka kujikumbusha mazuri na mabaya ya kiongozi wetu muasisi wa UHURU wetu hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Ni wadhifu mkubwa kwa jukwaa hili kuitukuza siku hii kwa kuzungumzia mazuri ya mwalimu bila kufuru maana binadamu sote tulikuwa na mapungufu yetu..
- Dua zenu zitasaidia..
- Dua zenu zitasaidia..