Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,090
Wakati JK anaingia madarakani mwaka 2005, Kodi ya mapato kwa mfanyakszi ilikuwa ni asilimia 18, Yaani alikuwa akikatwa asilimia 18 ya mshahara wake.
Lakini hadi kufikia mwaka 2015 serikali ya JK ilifanikiwa kuishusha kodi hiyo hadi asilimia 12 na hivyo kuleta unafuu mkubwa sana wa maisha kwa mfanyakazi.
JK alisema kwenye mei mosi ya mwaka 2015 kuwa plan mwaka huo ilikuwa ni kuishusha zaidi hadi asilimia 9. Siku hiyo JK alijoke kuwa mipango yote itawekwa sawa kisha Ujiko yaani sifa atapewa huyo rais atakeyemfuatia.
Hata hivyo leo hii mambo yamegeuka, Miaka mirano ya huyo rais mpya hakuna nafuu ya punguzo la kodi, hakuna nyongeza za mishahara, upandaji madaraja ni shida na hata ajira mpya zimekuwa ni manati.
Laiti tungekuwa na uvhaguzi huru na haki kwa kweli serikali hii ilipaswa kung'olewa madarakani.
Tujikumbushe speech ya kihistoria ya JK kwa wafanyakazi
Lakini hadi kufikia mwaka 2015 serikali ya JK ilifanikiwa kuishusha kodi hiyo hadi asilimia 12 na hivyo kuleta unafuu mkubwa sana wa maisha kwa mfanyakazi.
JK alisema kwenye mei mosi ya mwaka 2015 kuwa plan mwaka huo ilikuwa ni kuishusha zaidi hadi asilimia 9. Siku hiyo JK alijoke kuwa mipango yote itawekwa sawa kisha Ujiko yaani sifa atapewa huyo rais atakeyemfuatia.
Hata hivyo leo hii mambo yamegeuka, Miaka mirano ya huyo rais mpya hakuna nafuu ya punguzo la kodi, hakuna nyongeza za mishahara, upandaji madaraja ni shida na hata ajira mpya zimekuwa ni manati.
Laiti tungekuwa na uvhaguzi huru na haki kwa kweli serikali hii ilipaswa kung'olewa madarakani.
Tujikumbushe speech ya kihistoria ya JK kwa wafanyakazi