Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 679
- 1,337
Mzee wangu Mohamed Said naitaji kukuona siku moja nami niweze kuchota mengi kwenye hilo ghala lako ambalo limesheheni weledi lukuki kupitia medani mbali mbali kuhusu Taifa hili!Distant...
Mzee.Jumbe hakuwahi kuzuiwa.
Hongera sana maana umekuwa tunu kwa Taifa kutujuza haya yote ambayo mengi tulikuwa hatuyafahamu kabisa
Naomba mawasiliano yako mkuu