Kumbukumbu ya Mwaka Moja Tokea Mbuge wa Singida Mashariki Tundu Lissu Kupigwa Risasi Bungeni Waumini wafanya Ibada Kumuombea Afya Njema

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Wana Jamvi ni Kumbukumbu ya Mwaka moja inatimia mnamo tarehe 07/09/2018, tokea Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Antipas Mugwai Lussu kushambuliwa Nyumbani Kwake Eneo la Bungeni.

Kwa Taarifa zilizofika Ofisi za Mwanahabari Muru ni Kuwa Nchi nzima Watanzania waume kwa wake watafanya ibada ya kumuombea Mbunge huyo wa Singida Mashariki afya njema na uzima.

Tunatambua pia Serikali yetu itanga mkono Maombi hayo na Kujumuika pamoja

Ibada itafanyika kwenye kila dhehebu
 
Mungu amemponya, lakin sioni kama bado atarudi na ujasiri wake naoujua , inasikitisha pale wanaposema atalazimika kubaki na risasi kwenye uti wa mgongo maisha yake yote
Mkuu nilivyoelewa kuhusu hili suala la kubaki na risasi, ni kwamba ni HATARI kubwa kuitoa ile risasi kuliko kuiacha pale ilivyo hivi sasa kwani haina impact labda kwa huko badae..
Kama ulivyoonyesha ni jambo linalosikitisha kubaki na risasi hiyo, la kufanya ni kumuombea zaidi.
 
Mkuu nilivyoelewa kuhusu hili suala la kubaki na risasi, ni kwamba ni HATARI kubwa kuitoa ile risasi kuliko kuiacha pale ilivyo hivi sasa kwani haina impact labda kwa huko badae..
Kama ulivyoonyesha ni jambo linalosikitisha kubaki na risasi hiyo, la kufanya ni kumuombea zaidi.
Yes
 
Wana Jamvi ni Kumbukumbu ya Mwaka moja inatimia mnamo tarehe 07/09/2018, tokea Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Antipas Mugwai Lussu kushambuliwa Nyumbani Kwake Eneo la Bungeni.

Kwa Taarifa zilizofika Ofisi za Mwanahabari Muru ni Kuwa Nchi nzima Watanzania waume kwa wake watafanya ibada ya kumuombea Mbunge huyo wa Singida Mashariki afya njema na uzima.

Tunatambua pia Serikali yetu itanga mkono Maombi hayo na Kujumuika pamoja

Ibada itafanyika kwenye kila dhehebu
Unajua mkuu nimesikia hii taarifa kwenye vikao kadhaa vya jumuiya juzi jumamosi ila sikuelewa vizuri , sasa ndio nimeelewa , asante sana kwa taarifa
 
JPM
Anaendelea Hadi 2025
Huu Ni ukweli mchungu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili la JPM kuendelea hadi 2020, sio ukweli mchungu, bali huu ni ukweli tuu wa mambo, kama kuna mtu yoyote alidhani JPM anaweza kushindwa 2020, huyo mtu he/she needs his/her head be examined, seriously!.

Kwa wavivu, wazembe, mafisadi, walarushwa na wapiga dili, na wale wote wasiolitakia mema taifa letu, huu ndio ukweli mchungu kwao, lakini kwa wapenda maendeleo, wachukia rushwa na ufisadi, na kwa maslahi mapana ya nchi, huu ni ukweli mtamu kwao na wangependa tubadili katiba kuondoa ule ukomo wa two terms, tuache aendelee indefinitely kama Kageme, Museveni na Mugabe, hadi Tanzania tutakapoona tumetosheka!.

P.
 
Mungu amemponya, lakin sioni kama bado atarudi na ujasiri wake naoujua , inasikitisha pale wanaposema atalazimika kubaki na risasi kwenye uti wa mgongo maisha yake yote

Haujafa hauja Umbika Mkuu ,Walaaniwe wale wote na Vizazi vyao vyote walio msababishia Lissu Madhara yaliyo pelekea kuwa hivi alivyo leo.

Karma ita watafuna sana .
 
Back
Top Bottom