Automata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 3,346
- 4,614
Aaah! stori zako zote umezi limit kwenye udini (scope ni udini), nizisome mara tatu tatu ili iweje?Historia ya TANU ukipenda unaweza kuanza na Kleist baba yake
Abdul miaka ya 1920 na unaweza pia kuanza na Kleist mwenyewe
miaka ya 1940 mwishoni.
Lakini pia ukipenda unaweza kwenda nyuma zaidi katika Vita Vya
Maji Maji wananchi waliponyanyua silaha dhidi ya ukoloni wa
Wajerumani.
Hapa utakutana na Chief Abdul Rauf Songea Mbano.