Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Leo hii ukipita mitandaoni na kuona picha na matukio ya kushambuliwa kwa Lissu hakika unaweza kutokwa na machozi hasa kama ulikuwa ni mmoja wa watu uliomshuhidia Lissu kwa macho akiwa katika hali ile.
Binafsi nilikuwa pale Airport Dodoma siku ile usiku wakati Lissu anapakizwa kwenye ndege kabla ya kupelekwa Nairobi kwa matibabu.Kwa hakika sikutarajia kama Lissu angepona.
Nakumbuka kumuona Lissu akikwa hajitambui huku ametundikiwa ndripu ya maji(dawa),dripu ya damu huku akiwa na kifaa ambacho naamini ilikuwa ni mashine ya kumsaidia kupumua.Hakika lile tukio lilikuwa baya na la kikatila sana.
Waalaniwe waliopanga unyama ule mbingunui na duniani kwani hawataki kutubu bali wanaendeleza uovu wao bila woga na bila kumuogopa Mungu hivyo walaniwe.
Binafsi nilikuwa pale Airport Dodoma siku ile usiku wakati Lissu anapakizwa kwenye ndege kabla ya kupelekwa Nairobi kwa matibabu.Kwa hakika sikutarajia kama Lissu angepona.
Nakumbuka kumuona Lissu akikwa hajitambui huku ametundikiwa ndripu ya maji(dawa),dripu ya damu huku akiwa na kifaa ambacho naamini ilikuwa ni mashine ya kumsaidia kupumua.Hakika lile tukio lilikuwa baya na la kikatila sana.
Waalaniwe waliopanga unyama ule mbingunui na duniani kwani hawataki kutubu bali wanaendeleza uovu wao bila woga na bila kumuogopa Mungu hivyo walaniwe.