Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,781
Ama kweli Kifo hakina huruma.
Tulikupenda sana lakini
Muumba wa mbingu na Aridhi
Amekupenda zaidi
Ingawa ni vigumu sana kuamini
lakini ndo hivyo ni kazi yake Mola.
Pumzika kwa Amani Mwalimu Frank
Huo ni mojawapo ya ujumbe ulioandikwa na mdau wa FB mara baada ya taarifa kuenea kuhusu kifo cha ghafla cha mwana JF mwandamizi mwl frank kilichotokea kwa kujinyonga ama kunyongwa kichakani
Wiki hiyo ya kifo tulikiwa tumepanga naye aje Dar kwa ajili ya manunuzi ya gari Suzuki Escudo.. Ni mojawapo ya vifo vilivyoniumiza mno
Tulikupenda sana lakini
Muumba wa mbingu na Aridhi
Amekupenda zaidi
Ingawa ni vigumu sana kuamini
lakini ndo hivyo ni kazi yake Mola.
Pumzika kwa Amani Mwalimu Frank
Huo ni mojawapo ya ujumbe ulioandikwa na mdau wa FB mara baada ya taarifa kuenea kuhusu kifo cha ghafla cha mwana JF mwandamizi mwl frank kilichotokea kwa kujinyonga ama kunyongwa kichakani
Wiki hiyo ya kifo tulikiwa tumepanga naye aje Dar kwa ajili ya manunuzi ya gari Suzuki Escudo.. Ni mojawapo ya vifo vilivyoniumiza mno