Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,787
- 30,080
KUMBUKUMBU YA KESI YA SHEIKH PONDA MOROGORO 2015
''Allah ni Mjuzi Allah na ni Mbora wa kulipa.
Sheikh Ponda utayakuta malipo yako kwa Allah yakiwa makubwa kwa subra na ustahamilivu kwa ajili ya dini yake.
Hukuwa tayari kuuza uhuru wako kwa matakwa ya wenye kudhulumu.
Muda wote ulitutia moyo mawakili wako kila tulipokutana na vitimbi.
Mara nyingi sisi mawakili tulikuwa kama wateja na wewe ndiye wakili.
Hakika wewe ni kiongozi.
Umma huu wa Waislam wa Tanzania utaishi kwa mfano wako.
Alhamdulilah leo uko huru baada ya miaka miwili na miezi mitatu jela ukiwa na jeraha kubwa la risasi.
Allah anayo siri kubwa katika maisha yako Sheikh Ponda.
Allah akuhifadhi kiongozi wetu.
Amin.''
Wakili Juma Nassoro
''Allah ni Mjuzi Allah na ni Mbora wa kulipa.
Sheikh Ponda utayakuta malipo yako kwa Allah yakiwa makubwa kwa subra na ustahamilivu kwa ajili ya dini yake.
Hukuwa tayari kuuza uhuru wako kwa matakwa ya wenye kudhulumu.
Muda wote ulitutia moyo mawakili wako kila tulipokutana na vitimbi.
Mara nyingi sisi mawakili tulikuwa kama wateja na wewe ndiye wakili.
Hakika wewe ni kiongozi.
Umma huu wa Waislam wa Tanzania utaishi kwa mfano wako.
Alhamdulilah leo uko huru baada ya miaka miwili na miezi mitatu jela ukiwa na jeraha kubwa la risasi.
Allah anayo siri kubwa katika maisha yako Sheikh Ponda.
Allah akuhifadhi kiongozi wetu.
Amin.''
Wakili Juma Nassoro