Kila awamu huacha kumbukumbu zake muhimu wengine hutumia neno "Legacy". Kwangu mimi ninaamini wananchi na Taifa litamkumbuka Rais Dr JPM kwa mambo yafuatayo baada ya muda wake kuisha:
1. Nidhamu maofisini haijawahi kutokea maadili na nidhamu kurejeshwa hivi hata kama bado kuna changamoto ya rushwa maeneo kadhaa.
2. Kuhamishia serikali makao makuu Dodoma na ujenzi wa Ikulu na mji wa serikali. Na uendelezaji wa jiji hilo kwa kasi i.e miundo mbinu barabara na uwanja ndege Msalato etc.Amevunja mwiko ulioshindikana.
3. Kufufua shirika la ndege la ATCL "the national flag bearer".hili lilishindikana huko nyuma.changamoto nyingine zozote za kiuendeshaji za kampuni ni sehemu ya mapambano kama ilivyo biashara yoyote,rada 4 viwanja vya ndege vikuu nk.
4. Daraja la Busisi Kigongo "generational Miracle" ni alama ya kudumu milele.
5. Reli ya SGR ni alama na kumbukumbu kubwa mno.
6. Daraja la Tanzanite na flyovers.
7. Umeme wa Stiglers Gorge JKNHP.
8. Mifumo ya ukusanyaji mapato ya serikali na mageuzi kwenye madini.Haya ni mambo makubwa sana vizazi vitamkumbuka. Yapo mambo mengi ila haya ni kielelezo na alama ya kudumu. Mungu ambariki
Soma pia Hayati Magufuli ameacha legacy ya kuthubutu kufanya kitu bila ya kuomba ruhusa kwanza kwa mfadhili yeyote
1. Nidhamu maofisini haijawahi kutokea maadili na nidhamu kurejeshwa hivi hata kama bado kuna changamoto ya rushwa maeneo kadhaa.
2. Kuhamishia serikali makao makuu Dodoma na ujenzi wa Ikulu na mji wa serikali. Na uendelezaji wa jiji hilo kwa kasi i.e miundo mbinu barabara na uwanja ndege Msalato etc.Amevunja mwiko ulioshindikana.
3. Kufufua shirika la ndege la ATCL "the national flag bearer".hili lilishindikana huko nyuma.changamoto nyingine zozote za kiuendeshaji za kampuni ni sehemu ya mapambano kama ilivyo biashara yoyote,rada 4 viwanja vya ndege vikuu nk.
4. Daraja la Busisi Kigongo "generational Miracle" ni alama ya kudumu milele.
5. Reli ya SGR ni alama na kumbukumbu kubwa mno.
6. Daraja la Tanzanite na flyovers.
7. Umeme wa Stiglers Gorge JKNHP.
8. Mifumo ya ukusanyaji mapato ya serikali na mageuzi kwenye madini.Haya ni mambo makubwa sana vizazi vitamkumbuka. Yapo mambo mengi ila haya ni kielelezo na alama ya kudumu. Mungu ambariki
Soma pia Hayati Magufuli ameacha legacy ya kuthubutu kufanya kitu bila ya kuomba ruhusa kwanza kwa mfadhili yeyote