Nondo mla Watu
Senior Member
- Sep 28, 2020
- 175
- 29
Hahaha atakuchinja kabla hata haujamsogeleaMimi ndio mchinja Lucifer
Hahaha atakuchinja kabla hata haujamsogeleaMimi ndio mchinja Lucifer
Waislam na Wakatoliki wa Kawe tumeshatumiana hii video na msimamo wetu ni kumuaibisha huyu shetani kwenye sanduku la kura. Full stopAmini usiamin Gwajima kushinda n lazima Devi maana mambo ya dini na chama ni vitu tofauti kila mtu akiwa kansan kwake anapigia debe mbona waislamu wanatuita sisi makafiri na kwao n thawabu kubwa kumbadilisha mkristo kuwa muislam mim nilkuwa muislam n nilipobadili din nilitengwa na familia na kuonekana kama muasi hyo haijalishi aliongea nin tunachotaka wanakawe n maendeleo tu
Basi tusubiri zimebaki siku chache tu RafkiTarehe 28 wewe na Gwajima wako mtakimbia na kwenda kijificha kwenye lile gofu baada ya kipigo kikali kutoka kwa sisi wapiga kura.
Yees shetani lazima tumdondoshe tarehe 28 October na nyie wapambe wake mtamkimbia kama hamjala pesa zake vile.Basi tusubiri zimebaki siku chache tu Rafki
Atanuchinjaje wakati umesema ninamzidi!Hahaha atakuchinja kabla hata haujamsogelea
Sawa tutaona nani mshindi hyo siku maana kila mtu anauzuri wake na ubaya wake wewe unaangalia alisema nin lakin kumbuka kuna watu pia aliwasaidia n hao hao waislamu na wakisto kule salasala amewawekea maji nyumba 200 kajenga miskiti na kwa taarifa yako Gwajima alishawahi kuishi msikitinWaislam na Wakatoliki wa Kawe tumeshatumiana hii video na msimamo wetu ni kumuaibisha huyu shetani kwenye sanduku la kura. Full stop
Hahaha sawaYees shetani lazima tumdondoshe tarehe 28 October na nyie wapambe wake mtamkimbia kama hamjala pesa zake vile.
Hapana aisee huyu kunguru hajatusaidia chochote zaidi ya kutukuna dini zetu na ushahidi wa video tunao na jana kwenye jumuiya zote zilizofanyika Kawe tumeijadili hii video kama tulivyoelekezwa na wajumbe wa baraza la walei na tumeamua huyu shetani hatumpi kura na tunahakikisha Halima anapata kura za kutosha.Sawa tutaona nani mshindi hyo siku maana kila mtu anauzuri wake na ubaya wake wewe unaangalia alisema nin lakin kumbuka kuna watu pia aliwasaidia n hao hao waislamu na wakisto kule salasala amewawekea maji nyumba 200 kajenga miskiti na kwa taarifa yako Gwajima alishawahi kuishi msikitin
Na hiyo video ni fake?Hahaha na wewe uwe na akil mda mwingine hyo sio account original ya Gwajima hyo n fake account Gwajima kwenye account yake original hajawahi mjibu Halima
Hapana hatakama uwe vipi huwezi fanya kitu kama hicho au wewe unajirecord nini maana uko kama ulikuwepo vile
Akikujibu hii unitagNa hiyo video ni fake?
kwani ccm wanashtakiana? ni yeye alikuwa anapiga lile unoKwa Akili zako tu hzo ndogo ungepaswa kutambua kamwe mtu hawezi kufanya vile vitu akajirecord hasa mtu mwenye wazifa mkubwa kama Gwajima ukiwaza Mara mbili utagundua ile issue sio kweli ndo maana hakushitakiwa kama watu wengine Muachage chuki mda mwingne
Fake account utopolo fc
Atakiambia hio ni sauti ya baunsaMwenye kukerwa na akerwe.
Mshikamano wenu na Nani? Acha kuwasemea watu weweGwajima ni mtu hatari sana kwa mshikamano wetu.
Tuna video ya baba yako ya faragha na wewe mlivyo jirekodi tuiachie Nini?Anafaa kurekodi video ya faragha na wewe.
Kamwe hawezi kuwa mbunge wetu huyu tapeli wa kwenye madhabahu.
Wooi achia hadi kimba sio video tu.Tuna video ya baba yako ya faragha na wewe mlivyo jirekodi tuiachie Nini?