Kumbukumbu;Ali Kiba ndiye aliyeutambulisha Bongo Fleva rasmi Marekani

Luqman mohamedy

JF-Expert Member
Jul 24, 2016
892
1,226
Screenshot_20171215-233235.png
Screenshot_20171215-233259.png
Screenshot_20171215-233320.png
hio ni katika progect ya one8..
Ashukuriwe huyu braza na avikwe taji analostahili..
 
Alitambulisha huu muziki Marekani?
How??
Project ya One 8 ilikuwa ya kampuni fulani ya simu na ilikuwa imelenga nchi za kiafrika(kwa ufahamu wangu).
Au kwasababu ilimshirikisha R. Kelly
 
Picha tatu na vimistari vitatu vya kumshukuru Ali kiba kutambulisha bongo fleva marekani..
 
MANENO YA WAFA MAJI...PROJECT YA ONE8 WAO WAKAGEUZA NI WIMBO RASMI.SIKUMBUKI KAMA HUO WIMBO ULIWAHI KUIMBWA AU KUINGIA KATIKA CHATI YOYOTE ILE....
Ule wimbo ulikuwa kama kampeni fulani hivyi.Acheni upotoshaji
 
Ile nafasi angeitumia vizuri angekuwa mbali tatizo anarembua rembua tu ka binti wa kizaramo, chance kama iyo angepata mondi wangemkoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom