batmanwafez
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 882
- 1,341
Elezea kidogo huo mwaka 1988 kwanin Maalim afukuzwe ccm na sababu zake za kufungwa!
Ok nimesabukraibuu tiariSubirini story tuichimbue kwa undani zaidi
Shukurani mkuu kwa taarifa yako1972 maalim alijiunga chuo kikuu alimaliza high school 1963.
"The late karume alikataa wa Zanzibar kwenda kusoma vyuo vikuu"
Walienda baada ya kifo chake.
Wazanzibar wanapolalamikia ukandamizaji hili ni muhimu kukumbuka.
1982 prof anasema kulikuwa na uhaba wa bidhaa Mzee Msuya ana majibu mwalimu alikataa nini.
Tunapo waenzi waasisi wetu tuna mengi yakukumbuka.
Badoooo!!! Kwani unaandika ww km mwandish au unakop andish LA Lipumba???Asante kwa picha