Acha ubishi.Hiyo link haifunguki mkuuInafunguka baabuuu
Inafunguka kupitia instagram mkuuVideo yako haipo mkuu. Na hiyo link Wala haifunguki.
Tunakushukuru sana kwa kutukumbusha utopolo wa Bashiru Ally , sasa hivi ni mbunge wa viti maalumHakika muda unakwenda mbio sana na akija mgeni hapa Tanzania akakuta watanzania wanavyo ishi kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita atajiona kama kapotea njia.
View attachment 1795326
Check device yako au angalia pia kabando kama bado kapoVideo yako haipo mkuu. Na hiyo link Wala haifunguki.
Nimeiona mkuu. Nadhani niliwahi mno kukomenti. Wakati mods wanahakiki mm nataka kuifungua.Check device yako au angalia pia kabando kama bado kapo
Dawa ya huyu Badhiru ni kumfowardia hii video huku tukimtag katibu mkuu wa Sasa.Hakika muda unakwenda mbio sana na akija mgeni hapa Tanzania akakuta watanzania wanavyo ishi kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita atajiona kama kapotea njia.
View attachment 1795326
Kwa hakika Bashiru alijikweza mno, japo pengine tabia ya Bosi wake, mzee Keko, inaweza ikawa ilichangia. Sasa yeye ni viti maalum, kina Jafo na msajili wa vyama wanadunda. Ipo haja kujifunza kuwa na akiba ya maneno, kuwa na lugha za kistaarabu, na kuwa muungwana. Inasaidia sana pale unapodondoshwa puuuu!Hakika muda unakwenda mbio sana na akija mgeni hapa Tanzania akakuta watanzania wanavyo ishi kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita atajiona kama kapotea njia.
View attachment 1795326
Kwa viwango alivyoiathiri nchi yetu nadhani hata alipo sasa hakustahili.Ila kwa kuwa awamu hii imeamua kumrekebisha badala ya kumwadhibu,yafaa ajifunze pamoja na wengine wenye tabia na mitazamo ya namna hiyo.PhD holder anashindana na std vii kina Kibaja na Jah people
Inafunguka labda devices zao zina shidaInafunguka kupitia instagram mkuu
Duh! Yaani hii ilikuwa ni zaidi ya kiburi.Hakika muda unakwenda mbio sana na akija mgeni hapa Tanzania akakuta watanzania wanavyo ishi kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita atajiona kama kapotea njia.
View attachment 1795326
Haifunguki usiwe libishiInafunguka baabuuu