Kumbukizi; Safari ya matumaini ya Mzee Lowassa alipowania Uraisi miaka 5 iliyopita

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,249
21,345
Hakika mwenyezi Mungu kaiwekea fumbo zito kesho yetu!

ILIKUWA NI ARUSHA, MKUTANO ULIOTAMBULIKA KWA JINA LA "SAFARI YA MATUMAINI" KATIKA KUWANIA TIKETI YA URAIS NDANI YA CCM
Enzi hizo hoja ilipokuwa haijibiwi kwa rungu!

Ilikuwa tarehe 30/05/2015;
Mafuriko ya lowassa yalivyoitikisa ARUSHA.
Viongozi mbalimbali wakiwemo wachungaji walihudhulia kumuunga mkono.

Alikuwepo Marehemu mzee Kingunge ngombare, Mashekh, Maaskof na Mapadree bila kumsahau swahiba kindakindaki wa lowassa mzee wa kanisa la uzima na ufufuo JOSEPHAT GWAJIMA.

Uwanja ulijaa kwelikweli, Ilikuwa Ukinyanyua mguu tu mwenzako anakanyaga...watu walikuwa full shangwe vaibu Kama lote, walishiba vizuri, kila mmoja alitabasamu kimoyomoyo kwa mtonyo na mavumba ya kutosha,
Shangwe na ndelemo Ziligharamiwa; walioweza kushangilia zaidi waliongezewa zaidi mtonyo,

Wanaofanikiwa kuzimia kwa shangwe walipatiwa laki tano zaidi, Nakumbuka nilikuwa jilani na jamaa yeye alifanikiwa kuzimia mara tatu maana ake alibeba milioni moja na nusu... Ambulance ilikuwepo kuhesabu wanaozimia kwa Shangwe!

AMA KWELI KISICHOKUWA RIZIKI HAKILIKI HATA UFANYAJE!
FB_IMG_1590822794332.jpg
 
Kanisa katoliki liliweka Ngumu kuanzia kwenye uwaziri mkuu!!Waligoma katakata kumpa mlutheri nchi!hata uwaziri mkuu ukawa nongwa akapewa Mtoto wa bi kidude Pinda kwa pendekezo la Kadinali Pengo!!!!Pole Lowasa!!!
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom