njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Hassan bumbuli alimpa makavu live baadaya kuwacheka Yanga kwa ajali ya kupasuka tairi la mbele la gari ambayo kimahesabu ingeweza kusababisha madhara makubwa
kama kawaida yake ya kutumia ulemavu wake ku play victim card alianza kulialia mitandaoni and oh boy it worked ,hata majuzi tu alitumia social media kusema kitenge aliangusha hirizi redio one, kitenge huwa anaenda kwa bwanake marekani yeye ikizungumzwa issue ya "mzee" wa bandari wanakuja wapambe wake na kuanza kulia kwa moderators uzi ufutwe kwamba mlemavu wa ngozi ananyapaliwa
Cha kufurahisha huko aalipoenda na kusifia usajili wa wachezaji wazuri anaosema yeye bado kuna wale wa mafungu na wa kuokotwaokotwa kama alivyowaita mwezi wa 7 wanamuangalia tu
kama kawaida yake ya kutumia ulemavu wake ku play victim card alianza kulialia mitandaoni and oh boy it worked ,hata majuzi tu alitumia social media kusema kitenge aliangusha hirizi redio one, kitenge huwa anaenda kwa bwanake marekani yeye ikizungumzwa issue ya "mzee" wa bandari wanakuja wapambe wake na kuanza kulia kwa moderators uzi ufutwe kwamba mlemavu wa ngozi ananyapaliwa
Cha kufurahisha huko aalipoenda na kusifia usajili wa wachezaji wazuri anaosema yeye bado kuna wale wa mafungu na wa kuokotwaokotwa kama alivyowaita mwezi wa 7 wanamuangalia tu