kanyasu
JF-Expert Member
- Feb 9, 2009
- 234
- 18
Nimekuwa nasoma magazeti kwa mwezi mzima yakimshambulia mzee mkapa,mengi ya haya magazeti ni yale yanayo shabikia sana chadema! Hoja kubwa ni mkapa kuteuliwa kwenda igunga kuzindua kampeni za ccm kwa dr kafumu! Hapa najalibu kujiuliza dr mkapa atakapobomolewa (kama uwezo wa kumbomoa wanao),madhambi ya mkapa yana uhusiano gani na mgombea na yanamaslahi gani kwa wananchi wa jimbo la igunga ambao wanataka mbunge mwenye uwezo wa kuwawakilisha?
Nitoe mfano yapo madhambi mengi yanasemwa kuhusu dr slaa kuzaa na mke wa mtu,mbowe kuuza kwa kibabe music sysytem kwa chama,zitto kufaidika na abg baada ya kuonesha kuwafatafata mwaka 2007,lema kwamba ni jambazi,tundu lisu kufilisi fedha za ngo ya leat nk sasa tuhuma za hawa wakubwa zina athali gani kwa mgombea wa chadema?
Hivi siyo kweli kwamba watu wa igunga wanataka kujua uwezo wa mbunge wao na siyo ujinga wa mpiga debe wake?
Najua ndani ya jf wapo watu wavivu kufikiri watakulupuka kujibu ujinga ujinga kwa ushabiki.
Nitoe mfano yapo madhambi mengi yanasemwa kuhusu dr slaa kuzaa na mke wa mtu,mbowe kuuza kwa kibabe music sysytem kwa chama,zitto kufaidika na abg baada ya kuonesha kuwafatafata mwaka 2007,lema kwamba ni jambazi,tundu lisu kufilisi fedha za ngo ya leat nk sasa tuhuma za hawa wakubwa zina athali gani kwa mgombea wa chadema?
Hivi siyo kweli kwamba watu wa igunga wanataka kujua uwezo wa mbunge wao na siyo ujinga wa mpiga debe wake?
Najua ndani ya jf wapo watu wavivu kufikiri watakulupuka kujibu ujinga ujinga kwa ushabiki.