Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,022
- 11,043
Ciaaao?
Niende moja kwa moja kwenye mada harakaharaka. Nimeona waziri wa nchi akizungumzia nyumba za ibada.Yuko sahihi sana mana kuna wakati pia nawaza kama hawa ndugu zetu walokole. Mara nyingi wakishushiwa upako huanza kukemea, Kulia na kunena kwa lugha sambamba na kutoa mapepo. Wakati hayo yakiendelea sidhani kama swala la maelekezo ya wizara husika ya afya kama watakumbuka kuyafata.
Linalonitatiza hasa kwanini waziri wa nchi azungumzii swala La kumbi za starehe,ma bar na vilabu vya pombe, madanguro, kumbi za miziki na kamari, minada na magulio. Je hizi sehemu sio hatarishi hasa hasa kipindi hiki cha mlipuko wa ugonjwa wa mapafu?
Kama wakiona yanayotendeka huko kwa kweli hali inatisha.
Walevi kama una povu ruksa.
Nawakilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende moja kwa moja kwenye mada harakaharaka. Nimeona waziri wa nchi akizungumzia nyumba za ibada.Yuko sahihi sana mana kuna wakati pia nawaza kama hawa ndugu zetu walokole. Mara nyingi wakishushiwa upako huanza kukemea, Kulia na kunena kwa lugha sambamba na kutoa mapepo. Wakati hayo yakiendelea sidhani kama swala la maelekezo ya wizara husika ya afya kama watakumbuka kuyafata.
Linalonitatiza hasa kwanini waziri wa nchi azungumzii swala La kumbi za starehe,ma bar na vilabu vya pombe, madanguro, kumbi za miziki na kamari, minada na magulio. Je hizi sehemu sio hatarishi hasa hasa kipindi hiki cha mlipuko wa ugonjwa wa mapafu?
Kama wakiona yanayotendeka huko kwa kweli hali inatisha.
Walevi kama una povu ruksa.
Nawakilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app