Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,652
Habari za sikukuu.
Nimekuwa nikisafiri mara kwa mara katika mikoa mbalimbali hapa tanzania. Katika safari zangu huwa siondoki bila kutembelea kumbi za starehe.
Katika observation niliyoona hivi sasa, wanawake wanakuwa wengi kuliko wanaume. Na hii hali imenishangaza sana jana Dodoma baada ya kutembelea pubs na night clubs kama 3 na kukuta wanawake ni wengi sana zaid ya 70%.
Hii ni tofaut na miaka 3 nyuma. Wanawake walikuwa wanakuwa wachache sana kumbi za starehe.
Nimekuwa nikisafiri mara kwa mara katika mikoa mbalimbali hapa tanzania. Katika safari zangu huwa siondoki bila kutembelea kumbi za starehe.
Katika observation niliyoona hivi sasa, wanawake wanakuwa wengi kuliko wanaume. Na hii hali imenishangaza sana jana Dodoma baada ya kutembelea pubs na night clubs kama 3 na kukuta wanawake ni wengi sana zaid ya 70%.
Hii ni tofaut na miaka 3 nyuma. Wanawake walikuwa wanakuwa wachache sana kumbi za starehe.