Kumbe Zitto Kabwe alishapokea ‘’mlungura’’ wa Barrick Gold, tutapona kama Taifa?

MsemajiUkweli Unatakiwa Utambue kuwa kwa sera za nchi hii, adui wa taifa ni adui wa kila mtanzanania na vivyo hivyo kwa kinyume chake.

Zitto kabwe alipambana kadiri ya alivyoweza, lakini alishindwa kuwafanya lolote kwani walikuwa wanakingiwa kifua na serikali, na hapa ndipo usemi usemao "IF YOU CAN'T BEAT THEM, JOIN THEM" (Kama huwezi pambana nao, basi ungana nao). ZZK hakupenda kufanya hayo unayotaka kutuaminisha, bali mfumo mzima ulikuwa haupo upande wake na ulimlazimisha kufanya na kutenda kinyume na maono na misimamo yake.
Mzee Warioba jana alishauri tuache ya nyuma tuangalie mikataba mipya.
Ukiangalia kauli hii ni muhimu kwani hili Barrick halitaacha mtu salama
 
Ndo maana mimi nilisema tusishangilie sana kwa sababu kwenye majadiliano lolote laweza kutokea. Baada ya kuingia kwenye kamati ya Bomani, Zitto alibadilika mazima. Mbele ya haya makampuni, hakuna mjanja.

Tena Zitto ni kama tunamuonea, kuna wakati bunge zima lilihongwa. Mgodi ulichafua maji, mifugo ikafa, watu wakafa, wengine wakaungua. Bunge likaunda tume kuchunguza. Maajabu, wabunge walikodishiwa ndege na Barrick na kama kawaida ya mpiga zumari na mlipaji-tume haikusema lolote la maana. Kama kuna sehemu kampuni hii ilitakiwa ikohoe mabilion basi ni hapo kwenye uchafuzi wa mazingira.

Hii tume inaweza ikafanya kazi vizuri kama rais akiwa makini, la sivyo na wenyewe watapiga hela. Kosa la rais lilikuwa pale aliposhangilia alipokuja mwenyekiti wa Barrick. Yaan pale ndo vita ilikuwa inaanza upande wa Barrick, upande wetu tukadhan ndo imeisha.
Uzuri wanatujua inn and out, they know how to make the perfect move for their interest. Hii picha inasema mengi, wengi hawajui diplomatic language and time to pass the message.
19146048_1281566121961277_6786572295283621267_n.jpg

Hapo Magufuli ni kama alibaki peke yake dhidi ya hawa mabwana, and you can see jamaa wa kulia anavyokodoa macho wakati huo huo JPM anaonyesha kuna kitu kaambiwa sasa anajaribu kuwaza na hawezi kumwita Kabudi kwa sauti kuashiria mambo mazito anaambiwa. Angalia pia Prof. John alivyomakini then linganisha ni wakati gani huwa unaongea kwa namna hii.
 
Sibora yeye kaombaa rushwa yakujengewa shulee. Ccm miaka yote imeshindwa kuombaa kujengewa hataa stoo ya majembee siumandazii
Rushwa ikiombwa na upinzani ni Sawa ila ccm ni nongwa. Tutawafahamu kinagaubaga awamu hii.
 
Sioni tofauti ya Zitto kupiga kelele kisha kujengewa shule na kuanza kuwatetea hao barrick. Leo ndio kinachoendelea, Magufuli naye atapiga kelele atalipwa chochote na malipo hayo atajenga shule, zahanati nk, kisha ataendelea kuwapa ulinzi hao tunaowaita wezi. Niko tayari kurekebishwa.
Wakati matayarisho ya reports mbili zikiendelea, Raisi chaguo la Mungu Magufuli katafutwa sana ahongwe na hao walomhonga Zito.
This time they failed.
 
Wengi andiko hili naona kama hamkulielewa sana, labda ya malkia imekuwa sumu, lakini andiko lina kina chake cha kulitafakari.

1. Kuna mchangiaji kachangia hapo page two kaonesha vema kuwa haya waliyowahifanya barrick kama ambavyo ripoti inataka kudadisi pengine yakafanyika na leo na tayari mnaona Rais kama keshaingia mkenge, kwa maneno mengine katika vita usitangulize pesa mbele, utapewa utanyamaza so did ZZK

2. Ripoti hii inaamsha udadisi wa miaka ya 2011 na uzoefu wa sakata la madini, wengi mnaijibu kama vile ni part and parcel ya makinikia leo, this article can be used on current saga to reflect kile kilitokea enzi vuguvugu la madini lilipoongozwa na ZZK kitu kilipelekea akafukuzwa Bungeni.

Pia nimependa Research ya Huyu Adam inasema wabunge wengi ni Mazwazwa, hadi Barick walifikia kuona kama ZZK ndio Tishio wakati huo, na alipojengewa shule (hii ndio inayoonekana) akawa kama amezimwa na hata jamii ilitegemea Zito awe msumbufu wakati wa kuunda sheria lkn alikuwa kimyaaa ( udadisi wa rushwa unaibuka hapa katika tafti za mtafti husika).

Mwisho the big picture inayoamshwa ni hisia za kutafakari juu ya kile kilifanya zito kuwa kimya na Barrick kupeleka mradi Kigoma, inaweza kuwa ndio trick ileile waliofanya Barrick juzi, hasa ukizingatia kabisa weakness ya Rais wetu nikupenda Pesa, barrick wakatumia hiyo kumzima ay kum soften.

Nnaposema Rais wetu anapenda pesa yaweza isiwe (direct) anapenda kuongwa la! Rais huyu Anatamani kupata pesa either za maendeleo au kujiwekea stock serikalini, sasa hii Barrick wanaweza itumia vema na akashindwa kwenda kwenye kiini cha tatizo la nchi ila akahairisha tatizo kwasababu ametanguliza pesa na mihemuko, mbeleni madudu yakaendelea.

Note: Rais amedhihirisha mara kadhaa akiwa excited tu anakurupuka kufanya tamko, juzi ujio wa Barick ulimkuna akawaambia ni wanaume. Hii ilikiwa ni failure namba moja katika battle alioanzisha
Salute kwako mkuu, nimekuelewe mpaka nimepitiliza...kama kuna ambaye hajakuelewa itabidi aje tu akuazime kichwa kwa muda.
 
Asilimia kubwa ya wabunge wanaobwekaga sana kushutumu watu au taasis fulani then baadaye wanaufyata amma ku-side tena na hao hao watuhumiwa huwa wanamalizana "kiaina".

Ni aina ya ujasilia siasa.
 
Zito Kabwe, Tundu Lisu, chadema, Lowasa are all bunch of criminals, ambao kwa maoni yangu wanafaa kuwekwa Mnazi mmoja Park na kupigwa Risasi live on TV!
Mbona Serikali ya CCM imeshindwa kuwakamata na kuwashitaki?
 
Wakati matayarisho ya reports mbili zikiendelea, Raisi chaguo la Mungu Magufuli katafutwa sana ahongwe na hao walomhonga Zito.
This time they failed.

Weka ushahidi wa yeye kukata.
 
Ndo maana mimi nilisema tusishangilie sana kwa sababu kwenye majadiliano lolote laweza kutokea. Baada ya kuingia kwenye kamati ya Bomani, Zitto alibadilika mazima. Mbele ya haya makampuni, hakuna mjanja.

Tena Zitto ni kama tunamuonea, kuna wakati bunge zima lilihongwa. Mgodi ulichafua maji, mifugo ikafa, watu wakafa, wengine wakaungua. Bunge likaunda tume kuchunguza. Maajabu, wabunge walikodishiwa ndege na Barrick na kama kawaida ya mpiga zumari na mlipaji-tume haikusema lolote la maana. Kama kuna sehemu kampuni hii ilitakiwa ikohoe mabilion basi ni hapo kwenye uchafuzi wa mazingira.

Hii tume inaweza ikafanya kazi vizuri kama rais akiwa makini, la sivyo na wenyewe watapiga hela. Kosa la rais lilikuwa pale aliposhangilia alipokuja mwenyekiti wa Barrick. Yaan pale ndo vita ilikuwa inaanza upande wa Barrick, upande wetu tukadhan ndo imeisha.
Kwa kiasi kikubwa ninakubaliana na angalizo lako.

Kama taifa tunatakiwa tuwe makini sana katika kadhia hii.
 
One of the biggest curses from which Tanzania is suffering - I do not say that other countries are free from it, but I think our condition is much worse - is bribery and corruption. That really is a poison in our future development.

What I can add to these bizarre revelations is to besiege members of the team that will represent Tanzania in the negotiations with Barrick, to take their country to heart lest we come down on them with 'viper's anger'.

ENOUGH IS ENOUGH
 
Back
Top Bottom