MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,975
- Thread starter
- #21
Nadhani wewe umesoma heading tu na kutoa komenti!Kwani barrick mpaka sasa wamejenga miradi mingapi ya kijamii Hapa Tanzania?
Nadhani wewe umesoma heading tu na kutoa komenti!Kwani barrick mpaka sasa wamejenga miradi mingapi ya kijamii Hapa Tanzania?
Nadhani hujasoma andiko lote!Kama amechukua nadhani haijalishi, kinachojalisha ni ripoti ya kamati iwe kweli, Zitto Kabwe atawezaje kuwabeba hapo?
Wamesema watalipa kama walikuwa wanaiba so badala ya kuanza kumlaumu Zitto tusubiri
Sent from my VF695 using JamiiForums mobile app
Mmmh!Siku Seith akimpa ZZK hela atamtetea
Wamejenga shule,eneo-bunge kwa zzk ni kwa mujibu wa mleta taarifa,Kwani barrick mpaka sasa wamejenga miradi mingapi ya kijamii Hapa Tanzania?
Mkuu,Black mailed ni kitu kibaya naona jamaa anafakuchunguzwa pia.
Mtu haiwezi kum critised Rais Magufuli wakati na yeye ni mtuhumiwa.
Mkuu;hilo ndio jibu ambalo huwa linatolewa mtu anapotaka kujua ni lini zzk alinyamaza kupigania mali zetu.
ila pia angalizo suala la madini ni la kutaaruma. Tukiruhusu siasa tunaweza kujikuta tunafuraha za moto wa mabua. yawezekana kweli aliwahi kupewa mlungura maana sijawahi kusikia nje ya maeneo krb na migodi mgodi kufanya shughuli hizo za maendeleo . ajitokeze afafanue....
only truth and not politics will set this nation free
Hoja kama hizi ziko juu ya uwezo wako kifikra!Hii iko cheap sana Ku buy katafute nyingine.
Unapotuhumu kampuni and then kampuni inakuziba mdomo kwa kukujengea shule what do you expect.Mkuu,
Una maana gani unaposema black mailed? Nani amekuwa black mailed?
Nifafanulie.