enock yusto
JF-Expert Member
- May 28, 2014
- 377
- 340
Juzi nilileta thread ya kutangaza kuhusu kuibiwa bag langu ambamo kulikua na nyaraka zangu muhimu ilkiwa ni vyeti pamoja na vitambulisho .
Namshukuru Mungu uyo mwizi alitoa izo nyaraka akaziweka sehemu zimeokotwa na wasamalia wema Hadi zimenifikia zikiwa salama bila gharama yoyote.
Nawashukuru wote waliokuwa pamoja nami bega kwa bega katika kufanikisha hili Jambo.
Nimeibiwa vyeti vyangu naomba Msaada kwa atakayeviona na kushare ujumbe
*NAOMBENI MNISAIDIE KUSHARE HUU UJUMBE WADAU* Kwa majina naitwa Enock Yusto mkazi wa Dar es salaam. Leo tarehe 3/05/2019 majira ya saa Tisa alasiri nimeibiwa bag langu maeneo ya Msimbazi Centre Ilala. Ndani ya ilo bag kulikua na nyaraka zangu muhimu ambazo ni; 1 *Cheti cha kuzaliwa* 2 *cheti...
www.jamiiforums.com
Namshukuru Mungu uyo mwizi alitoa izo nyaraka akaziweka sehemu zimeokotwa na wasamalia wema Hadi zimenifikia zikiwa salama bila gharama yoyote.
Nawashukuru wote waliokuwa pamoja nami bega kwa bega katika kufanikisha hili Jambo.