sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,283
- 976
Wakati watanzania na serikali yake tukiidharau na kuchukulia poa lugha yetu adhimu ya kiswahili, wenzetu wa mataifa ya nje wanaithamini sana na kujifunza kwa kasi.
Leo kupitia habari kwenye TV nimemsikia mkurugenzi wa benki ya maendeleo ya Ujerumani akisoma na kuzungumza kiswahili vizuri kabisa..
My take: Ndugu zangu tuache kiswa-kinge, tuipende lugha yetu!
Leo kupitia habari kwenye TV nimemsikia mkurugenzi wa benki ya maendeleo ya Ujerumani akisoma na kuzungumza kiswahili vizuri kabisa..
My take: Ndugu zangu tuache kiswa-kinge, tuipende lugha yetu!