The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
å Mimi mara nyingi humfananisha Rais Donald Trump wa Marekani na Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania kitabia na kwa staili yao ya uongozi.
å Kwa yanayotokea Marekani chanzo kikiwa ni tabia na mwenendo mbovu wa Rais Trump, laiti ingekuwa yanafanywa na kiongozi wa mojawapo wa nchi za dunia ya tatu kama Tanzania, hakika ingekuwa ni maafa makubwa.
å Hakuna ubishi kuwa Rais Donald Trump ana tabia na mwenendo wa viongozi wa nchi masikini za dunia ya tatu kama Tanzania na zingine. Wamerekani walifanya kosa kumpa madaraka makubwa ya Urais. Madhara yake ni hayo.
å Sisi Tanzania bila shaka, Magufuli ndiye Trump wetu. Chunguza kauli za Rais Magufuli za mara kwa mara ktk hotuba zake. Mara nyingi huwa zinabeba ujumbe wa kuhimiza ghasia toka kwa wafuasi wake dhidi ya wasio kuwa wafuasi wake.
å Lakini nini hutokea? Kwa kiwango kidogo sana huleta madhara. Hii ni tofauti na nchi kama Marekani ambako viongozi wanaaminika sana bila kujali wasemalo ni UKWELI au UONGO.
å Wafuasi wa Trump wanamwamini sana kwa kila litokalo ktk kinywa chake. Tukio la uvamizi wa Capitol Hill wiki jana ni matokeo ya kauli zake kwa wafuasi wake na wakafanya kweli sawsawa na maagizo ya kiongozi wao.
Sisi kumbe ni wavumilivu na waelewa sana.
å Kwa yanayotokea Marekani chanzo kikiwa ni tabia na mwenendo mbovu wa Rais Trump, laiti ingekuwa yanafanywa na kiongozi wa mojawapo wa nchi za dunia ya tatu kama Tanzania, hakika ingekuwa ni maafa makubwa.
å Hakuna ubishi kuwa Rais Donald Trump ana tabia na mwenendo wa viongozi wa nchi masikini za dunia ya tatu kama Tanzania na zingine. Wamerekani walifanya kosa kumpa madaraka makubwa ya Urais. Madhara yake ni hayo.
å Sisi Tanzania bila shaka, Magufuli ndiye Trump wetu. Chunguza kauli za Rais Magufuli za mara kwa mara ktk hotuba zake. Mara nyingi huwa zinabeba ujumbe wa kuhimiza ghasia toka kwa wafuasi wake dhidi ya wasio kuwa wafuasi wake.
å Lakini nini hutokea? Kwa kiwango kidogo sana huleta madhara. Hii ni tofauti na nchi kama Marekani ambako viongozi wanaaminika sana bila kujali wasemalo ni UKWELI au UONGO.
å Wafuasi wa Trump wanamwamini sana kwa kila litokalo ktk kinywa chake. Tukio la uvamizi wa Capitol Hill wiki jana ni matokeo ya kauli zake kwa wafuasi wake na wakafanya kweli sawsawa na maagizo ya kiongozi wao.
Sisi kumbe ni wavumilivu na waelewa sana.