Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Hawa watu wanafanana kuanzia majina hadi sura.
Davis Mwamunyange:
George Ambwene Mwakalinga aka Mtanzania:
Dr. Harrison George Mwakyembe:
George Mwakalinga mpenzi wa WEKUNDU (huyu mama yake sijui wa wapi).....
Mwakalinga walivyo wengi, DUUUU!!!!!!! Hawa chini wote ni Family??!!
http://www.facebook.com/family/Mwakalinga/1
Kwa nini msianze na nyie kuiga majina kama Makonde?
Nasikia mmoja kashajiita tayari Barack Obama na mdogo wake kampa jina la Mark Ndesadjo Obama. MWaka mmoja tu mtakuwa na sir name tofauti. Poleni sana watani wangu kwa shida ya kuchanganywa majina wakati mwingine.
Davis Mwamunyange:
George Ambwene Mwakalinga aka Mtanzania:
Dr. Harrison George Mwakyembe:
George Mwakalinga mpenzi wa WEKUNDU (huyu mama yake sijui wa wapi).....
Mwakalinga walivyo wengi, DUUUU!!!!!!! Hawa chini wote ni Family??!!
http://www.facebook.com/family/Mwakalinga/1
Kwa nini msianze na nyie kuiga majina kama Makonde?
Nasikia mmoja kashajiita tayari Barack Obama na mdogo wake kampa jina la Mark Ndesadjo Obama. MWaka mmoja tu mtakuwa na sir name tofauti. Poleni sana watani wangu kwa shida ya kuchanganywa majina wakati mwingine.